chokambayaa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 543
- 69
Kuna jamaa angu anaishi Iringa eti kanambia kuna fununua
ya kuwa Mtoto wa Jeikei kanunua stand ya miomboni
ya vidaladala na anajiandaa kuzuia kuoakia abiria ili
ajenge ghorofa hapo
Is it true? Jamaa zangu wa Ir kama mna info Mtujuze....
ya kuwa Mtoto wa Jeikei kanunua stand ya miomboni
ya vidaladala na anajiandaa kuzuia kuoakia abiria ili
ajenge ghorofa hapo
Is it true? Jamaa zangu wa Ir kama mna info Mtujuze....