Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
- Thread starter
- #21
Nakupa offa uje tuone hii picha kwangu off course na Belinda akiwepo maana huwezi jua....labda utaondokana na wazo eti wakina mama wanalea vizuri kuliko kina baba....
Masa
...talking about mifano ya movies, hata Kramer vs Kramer, au The Champ ni baadhi tu ya mifano japo kuna wengine watasema aaargghh, si maigizo tu1 Wanasahau zote zilikuwa based on true story, kama ile Not without my daughter!
...Back to reality, kuna watu ambao kuzungumzia mas'ala ya talaka na kuachana wao wanaona kama taboo! utawasikia oooh, msizungumzie hilo...vibaya, uchuro. Ni sawa na wale wasiotaka kuandika will kwa kukiogopa kifo, japo wanajua ipo siku roho itaacha mwili!
Kuna manyanyaso makubwa wawili wanapoachana;
1. Mume anashikilia mali
2. Mke anashikilia watoto
kwanini?