Yaani Mkuu una maanisha turudie kuwa majani au? Mi nadhani wanaopandisha bei za umeme na mafuta hiyo picha inawahusu maana umeme na wese ndo moyo wa uchumi,vikiwa bei nafuu manake viwanda vitakua na bidhaa zitashuka bei na automatically ugumu wa maisha utapungua na usafiri na usafirisha utakuwa nafuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.