Global survey has named Rwanda as the best place to live in Africa

mbona hujibu kuhusu Rwanda, unajaribu kuongeza mambo mengine ya sera za nchi iliyokwisha staarabika.

Mimi sio niliofanya huu uchunguzi mkuu,Mimi ni Mtanzania,lakini sijawahi kuona uchunguzi wowote mzuri katika mitandao kuhusu Tanzania,kuhusu Ruanda wanajibu wanyaruanda,kama Tanzania imeoza kwaninii hatukubali ili tutafute njia ya kujinusuru na majanga ili na sisis tupate sifa nzuri kutoka kwa wenzetu...
 
kama umepanda ndege au umekwenda kwa miguu yote sawa umekimbia nchini kwako umekwenda kubeba maoksi nchi nyengine ili upate unafuu wa maisha kwasababu nchi yako haikupatii mahitaji unayoyataka

Hivi unajua kuwa nchi kama Swaziland,malawi,Botswana huwaoni watu wao ulaya kubeba maksi sababu nchi zao zinawapatia watu wake mahitaji wanaoyotaka,watanzania wengi sana wanaishi Botswana wamekimbia maisha magumu Tanzania...

Mkuu nikuulize wewe ni mtanzania au ni wa wapi..naona sikuelewi elewi!
 
kuna kitu wanakitaka hapo rwanda hao sio bure.ni kawaida yao kukusifia halafu wao wanapiga zao bingo na kusepa.siku hizi TZ tumeshtuka kupitia bunge letu watu wakahoji sana kuhusu mikataba ya serikali na mambo kedekede naona wakaona wanabanwa sana so hawapigi tena bingo na hapo ndio sifa zote za TZ za mwanzo zilipofia.siku hizi wakitoa listi zao za kusifiasifia TZ inaangukia pua tu.
ni mtizamo tu wakuuu
 
kama umepanda ndege au umekwenda kwa miguu yote sawa umekimbia nchini kwako umekwenda kubeba maboksi nchi nyengine ili upate unafuu wa maisha kwasababu nchi yako haikupatii mahitaji unayoyataka

Hivi unajua kuwa nchi kama Swaziland,malawi,Botswana huwaoni watu wao ulaya kubeba maksi sababu nchi zao zinawapatia watu wake mahitaji wanaoyotaka,watanzania wengi sana wanaishi Botswana wamekimbia maisha magumu Tanzania...

nadhani uwezo wako wa kujadili "uko juu" kuliko wangu. Yani unalinganisha engineer Mtanzania anayefanya kazi botswana, aliyeenda kwa passport na visa, kwa ndege, unamuweka sawa na mnyarwanda aliyebeba godoro kichwani na mwanae mgongoni kuvuka boda la TZ na kuishi porini? Basi sawa tufanye umeshinda, mi siwezi ku-argue na wewe, you are very intelligent kunizidi.
 
Matatizo yetu watanzania hatukabali ukweli hata siku moja,Ukweli Rwanda imepiga hatua sana kutoka ilikotoka mpaka ilipofika sasa,Mji Kigali wa kigali ni mji wa kwanza katika Afrika kuwa na "free broadband" yaaani internet ya bure,je Tanzania tunayo hiyo,Kigali inaongoza kwa usafi katika miji ya Afrika je miji yetu ya Daresalam,Arusha,Mwanza,Mbeya iko hali gani.....?,na sasa "survey" za kimataifa zinasema kuwa Ruanda ni ni bora kuishi katika Afrika,

Lazima tukubaliane na ukweli mbona Tanzania hatuna au hatupewi sifa zote hizo,,,,,,Wakisifiwa wenzetu tunapiga kelele tunaanza kutukana,Kwanini sifa nzuri haipewi Tanzania.....

Sifa inazopewa Tanzania ni nchi ya Tatu duniani kwa kutegemea misada baada ya Afghanistan na Iraq,Tanzania inaongoza kwa Rushwa katika Afrika tukipitwa na Nigeria,Moja katika miji michafu Afrika ni Daresaalam,,hizi ndio sifa zetu kutoka katika "survey" za kimataifa,huo ndio ukweli ulivyo tukitaka tusifiwe kwa mazuri lazima tubadilie ki mawazo na fikra.......

Kwa hakika wewe ni Great Thinker.
 
kama umepanda ndege au umekwenda kwa miguu yote sawa umekimbia nchini kwako umekwenda kubeba maboksi nchi nyengine ili upate unafuu wa maisha kwasababu nchi yako haikupatii mahitaji unayoyataka

Hivi unajua kuwa nchi kama Swaziland,malawi,Botswana huwaoni watu wao ulaya kubeba maksi sababu nchi zao zinawapatia watu wake mahitaji wanaoyotaka,watanzania wengi sana wanaishi Botswana wamekimbia maisha magumu Tanzania...

Kudos. Nakukubali. Bahati mbaya wengi wanaokujibu wana chuki na wivu wanaposikia hayo.
 
Kudos. Nakukubali. Bahati mbaya wengi wanaokujibu wana chuki na wivu wanaposikia hayo.

Kwenye hizo nchi ulizotaja hapo juu naweza nikakubaliana na wewe Kwa Botswana tu Lakini wa Malawi hata hapa bongo wengi ni MA houseboys na girls, Swazi ndiyo usiseme idadi kubwa ya wanaume wanabeba boksi sa, kuwa na wa tz wanaobeba boksi us, UK au sa sio kitu cha ajabu sababu kubwa ni kwamba us, UK na sa zina maendeleo makubwa ya ku uchumi kuliko tz!!!!!!
 
nadhani uwezo wako wa kujadili "uko juu" kuliko wangu. Yani unalinganisha engineer Mtanzania anayefanya kazi botswana, aliyeenda kwa passport na visa, kwa ndege, unamuweka sawa na mnyarwanda aliyebeba godoro kichwani na mwanae mgongoni kuvuka boda la TZ na kuishi porini? Basi sawa tufanye umeshinda, mi siwezi ku-argue na wewe, you are very intelligent kunizidi.

Sifikirii kama uwezo wako mdogo wa kufikiri kuliko wangu isipokuwa unaogopa ukweli,mtu yoyote anaeogopa kuukabili ukweli hawezi kuleta mabadiliko hawezi kuleta maendeleo

kwaukweli wako wanyaruanda wengi sana wanapost kubwa kubwa katika serikali ya Tanzania,Nilisoma kwenye mtandao kagame amemchukua professa mmoja wa kitanzania na kumpa uwaziri Rwanda,ukiangalia nyama ya pazia kumbe yule jamaa alikuwa mnyarunda,huu ni mfano kuonyesha kuwa sio kila mnyaruanda aliekuja Tanzania amebeba kogoro kichwani na mtoto mgongoni,jaribu kufungua maskio usikie na macho uone...

Hivi nikuulize kwanini mtanzania mwenye shahada ya ui-nginia akimbie Tanzania aende inchi za watu kufanya kazi,kwanini ujuzi wake asiutumie Tanzania kwa kuinufaisha jamii,kitu gani kilichomfanya aondoke Tanzania aende kutafuta kazi nchi za watu,,,,by the way nina marafiki zangu wawili ma-Doctor wazuri sana amekimbia Tanzania amekwenda kufanya Kazi Botswana

lazima kuna kitu kinachowafanya hawa watu waondoke TZ waende huko,jubu nakuachie wewe mkuu... :)
 
Sifikirii kama uwezo wako mdogo wa kufikiri kuliko wangu isipokuwa unaogopa ukweli,mtu yoyote anaeogopa kuukabili ukweli hawezi kuleta mabadiliko hawezi kuleta maendeleo

kwaukweli wako wanyaruanda wengi sana wanapost kubwa kubwa katika serikali ya Tanzania,Nilisoma kwenye mtandao kagame amemchukua professa mmoja wa kitanzania na kumpa uwaziri Rwanda,ukiangalia nyama ya pazia kumbe yule jamaa alikuwa mnyarunda,huu ni mfano kuonyesha kuwa sio kila mnyaruanda aliekuja Tanzania amebeba kogoro kichwani na mtoto mgongoni,jaribu kufungua maskio usikie na macho uone...

Hivi nikuulize kwanini mtanzania mwenye shahada ya ui-nginia akimbie Tanzania aende inchi za watu kufanya kazi,kwanini ujuzi wake asiutumie Tanzania kwa kuinufaisha jamii,kitu gani kilichomfanya aondoke Tanzania aende kutafuta kazi nchi za watu,,,,by the way nina marafiki zangu wawili ma-Doctor wazuri sana amekimbia Tanzania amekwenda kufanya Kazi Botswana

lazima kuna kitu kinachowafanya hawa watu waondoke TZ waende huko,jubu nakuachie wewe mkuu... :)

Unajua maana ya wahamiaji haramu au kingereza illegal immigrants? Hao ni tofauti na watu unaozungumzia wewe ambao ni legal migrants. Ninaozungumzia mimi ni wale tuliowafukuza kwenye operesheni kimbunga, kama una ufahamu wa kimataifa basi hawa ninaozungumzia ni kama wale wa-mexico wanaoruka fensi kuingia marekani, au waethiopia wanaokwenda saudia kiharamu.
Sasa cha ajabu wewe unalinganisha hawa na ma-daktari, ma-engineer, ma-pilot etc wanaotoka Tanzania kwenda nchi zingine. Hili ni jambo la ajabu kwa sababu hakuna nchi hata iwe imeendelea vipi haina watu wake wanafanya kazi nje. Je hapa Tanzania hakuna wamarekani wanafanya kazi? Hao hawajakimbia hali ngumu Marekani, ni maamuzi yao.
Illegal migrants ni watu ambao wanakimbia hali ngumu za maisha nchini kwao na hawafai nchi nyingine ndio maana wanaingia kiharamu, tofautisha na legal migrants kama hao rafiki zako ambao wanakwenda kwa passport na ni professionals, wanaweza kufanya kazi yao popote pale sio tu Botswana. Je huko Botswana wanaishi maporini kama digididi kama hawa ninaozungumzia mimi? au wanakaa kwenye apartments na nyumba nzuri?
Wanyarwanda ninaozungumzia mimi sio madaktari, wala maprofessa, ni wahamiaji haramu wasio na elimu, swali ni kwa nini hawa wahamie kiharamu Tanzania wakati "utafiti" unasema kuishi Rwanda ni sawa na kuishi Marekani? Ndio maana nikauliza je uliwahi kusikia Mexico au Canada inafukuza lundo la wahamiaji haramu warudi kwao Marekani?

by the way: professa unayemzungumzia alikuwa ni Mtanzania kwa uraia, kazaliwa hapa na kakulia hapa, sio kwamba alikuja Tanzania na uprofessa wake!
 
Hahaha mkuu kwa uongo wewe ni kiboko yao hahahah hebu nioneshe wap Ulishawahi kuniambia mimi sio mtz! Hahah wanaanza kwanza interahamwe kuchomolewa afu na wengine watafuata! Afu by the way unajua mbabe/kiboko yenu interahamwe/wazee wa kimbari/fdlr amekuja dar leo? Jificheni ndan kabisa asije akaanza kuwawinda, hahah

Tunakugundua kwa comment zako na ushabiki wako.
 
Unajua maana ya wahamiaji haramu au kingereza illegal immigrants? Hao ni tofauti na watu unaozungumzia wewe ambao ni legal migrants. Ninaozungumzia mimi ni wale tuliowafukuza kwenye operesheni kimbunga, kama una ufahamu wa kimataifa basi hawa ninaozungumzia ni kama wale wa-mexico wanaoruka fensi kuingia marekani, au waethiopia wanaokwenda saudia kiharamu.
Sasa cha ajabu wewe unalinganisha hawa na ma-daktari, ma-engineer, ma-pilot etc wanaotoka Tanzania kwenda nchi zingine. Hili ni jambo la ajabu kwa sababu hakuna nchi hata iwe imeendelea vipi haina watu wake wanafanya kazi nje. Je hapa Tanzania hakuna wamarekani wanafanya kazi? Hao hawajakimbia hali ngumu Marekani, ni maamuzi yao.
Illegal migrants ni watu ambao wanakimbia hali ngumu za maisha nchini kwao na hawafai nchi nyingine ndio maana wanaingia kiharamu, tofautisha na legal migrants kama hao rafiki zako ambao wanakwenda kwa passport na ni professionals, wanaweza kufanya kazi yao popote pale sio tu Botswana. Je huko Botswana wanaishi maporini kama digididi kama hawa ninaozungumzia mimi? au wanakaa kwenye apartments na nyumba nzuri?
Wanyarwanda ninaozungumzia mimi sio madaktari, wala maprofessa, ni wahamiaji haramu wasio na elimu, swali ni kwa nini hawa wahamie kiharamu Tanzania wakati "utafiti" unasema kuishi Rwanda ni sawa na kuishi Marekani? Ndio maana nikauliza je uliwahi kusikia Mexico au Canada inafukuza lundo la wahamiaji haramu warudi kwao Marekani?

by the way: professa unayemzungumzia alikuwa ni Mtanzania kwa uraia, kazaliwa hapa na kakulia hapa, sio kwamba alikuja Tanzania na uprofessa wake!

You are making some sense here, but I still insist "best place to live" is relative to the subjects of a survey. I for once will never switch my livelihood in EAC with any other place in the world. I like it here, and this is the best place to live within my context.
 
You are making some sense here, but I still insist "best place to live" is relative to the subjects of a survey. I for once will never switch my livelihood in EAC with any other place in the world. I like it here, and this is the best place to live within my context.

Even i consider Tanzania to be the best place to live in the world just like you consider Kenya....Why then are you disagreeing when i question how Rwanda is equated to to America? Why are you denying me my right of "relativity"?
 
Even i consider Tanzania to be the best place to live in the world just like you consider Kenya....Why then are you disagreeing when i question how Rwanda is equated to to America? Why are you denying me my right of "relativity"?


Again basing everything on "relativity", this is a survey done scientifically on a few selected individuals. It all depends on whom that question is directed at. I'd prefer living in Rwanda amongst my fellow Africans drinking African beers, eating our nyama choma and laughing to real African jokes, than living in Hollywood savoring burgers in a mansion but deep inside my heart is full of darkness and depression.


Like I said, it all depends on correspondents of the survey, the only part I seem to agree with you is when you claim there are genuine Rwandans suffering in Tanzania forests, then if that claim is true, the survey was somehow skewed.
 
Unajua maana ya wahamiaji haramu au kingereza illegal immigrants? Hao ni tofauti na watu unaozungumzia wewe ambao ni legal migrants. Ninaozungumzia mimi ni wale tuliowafukuza kwenye operesheni kimbunga, kama una ufahamu wa kimataifa basi hawa ninaozungumzia ni kama wale wa-mexico wanaoruka fensi kuingia marekani, au waethiopia wanaokwenda saudia kiharamu.
Sasa cha ajabu wewe unalinganisha hawa na ma-daktari, ma-engineer, ma-pilot etc wanaotoka Tanzania kwenda nchi zingine. Hili ni jambo la ajabu kwa sababu hakuna nchi hata iwe imeendelea vipi haina watu wake wanafanya kazi nje. Je hapa Tanzania hakuna wamarekani wanafanya kazi? Hao hawajakimbia hali ngumu Marekani, ni maamuzi yao.
Illegal migrants ni watu ambao wanakimbia hali ngumu za maisha nchini kwao na hawafai nchi nyingine ndio maana wanaingia kiharamu, tofautisha na legal migrants kama hao rafiki zako ambao wanakwenda kwa passport na ni professionals, wanaweza kufanya kazi yao popote pale sio tu Botswana. Je huko Botswana wanaishi maporini kama digididi kama hawa ninaozungumzia mimi? au wanakaa kwenye apartments na nyumba nzuri?
Wanyarwanda ninaozungumzia mimi sio madaktari, wala maprofessa, ni wahamiaji haramu wasio na elimu, swali ni kwa nini hawa wahamie kiharamu Tanzania wakati "utafiti" unasema kuishi Rwanda ni sawa na kuishi Marekani? Ndio maana nikauliza je uliwahi kusikia Mexico au Canada inafukuza lundo la wahamiaji haramu warudi kwao Marekani?

by the way: professa unayemzungumzia alikuwa ni Mtanzania kwa uraia, kazaliwa hapa na kakulia hapa, sio kwamba alikuja Tanzania na uprofessa wake!

kaka mkubwa kitu ambacho mimi na wewe hatujafahamiana ni kwamba ukiwa pilot au enginer au mwalimu au.....kama umeondoka nchi yako na kwenda nchi nyengine kutafuta kazi huna tafauti na yule ambae kaondoka kwao hana elimu ya kutosha au hakupanda ndege kaenda hiyo nchi kwa miguu....maudhui ni yale yale hawa watu wameondoka nchi yao na kwenda nchi nyengine kutafuta kazi ....sababu kubwa zinazofanya watu waondoke nchi yao na kwenda nchi nyeninge kutafuta kazi ni kutoridhishwa na mishara au mfumo wa mazingira ya kazi haiwanufanishi nk kuna sababu nyingi..

Katika kutembea kwangu nimeshakutana na mtanzania an PHD ya kilimo lakini anabeba boksi wako wengi kama hao....

Lakin,i kaka mkubwa ujue kuwa hii "topic "ni kuhusu maendeleo waliyopata Rwanda kwa muda mchache kiasi amchacho Rwanda inapata "credit" kwa maedeleo yao,wakati Tanzanzia bado tuko kwenye kiza,,,,,hii toppic sio kuhusu wahamiaji haramu au halali.

kwa upande wangu mimi muhamiaji ni muhamiaji tu,awe haramu awe halali awe msomi awe mbumbu wote wamekimbia kwao kwenda nchi nyengine kwa lengo la kutafuta maisha bora "economical refugees"
 
kaka mkubwa kitu ambacho mimi na wewe hatujafahamiana ni kwamba ukiwa pilot au enginer au mwalimu au.....kama umeondoka nchi yako na kwenda nchi nyengine kutafuta kazi huna tafauti na yule ambae kaondoka kwao hana elimu ya kutosha au hakupanda ndege kaenda hiyo nchi kwa miguu....maudhui ni yale yale hawa watu wameondoka nchi yao na kwenda nchi nyengine kutafuta kazi ....sababu kubwa zinazofanya watu waondoke nchi yao na kwenda nchi nyeninge kutafuta kazi ni kutoridhishwa na mishara au mfumo wa mazingira ya kazi haiwanufanishi nk kuna sababu nyingi..

Katika kutembea kwangu nimeshakutana na mtanzania an PHD ya kilimo lakini anabeba boksi wako wengi kama hao....

Lakin,i kaka mkubwa ujue kuwa hii "topic "ni kuhusu maendeleo waliyopata Rwanda kwa muda mchache kiasi amchacho Rwanda inapata "credit" kwa maedeleo yao,wakati Tanzanzia bado tuko kwenye kiza,,,,,hii toppic sio kuhusu wahamiaji haramu au halali.

kwa upande wangu mimi muhamiaji ni muhamiaji tu,awe haramu awe halali awe msomi awe mbumbu wote wamekimbia kwao kwenda nchi nyengine kwa lengo la kutafuta maisha bora "economical refugees"

1. I respectfully disagree, legal migrants na illegal migrants hawako sawa! Ndio maana hawa professionals nchi zinazowahitaji mfano Rwanda huwakaribisha kwa juhudi nyingi sana ikiwemo kuwaahidi mishahara minono, kutowakata kodi etc, ili waende huko, lakini hawa illegal immigrants kama wahamiaji haramu wa Tanzania, tukiwafuma huwa tunawakusanya tunawatia kwenye mafuso na kuwafukuzilia mbali warudi kwao! I hope you see the difference hapo. Mmoja anakaribishwa, mwingine anafukuzwa.
Hakuna Engineer au pilot au professional yoyote yule mtanzania ambaye asipoenda kufanya kazi ughaibuni huko mfano botswana au namibia, basi atashindwa kuishi bongo. kwenda kwenye nchi hizo ni katika kujiongeza tu sio kuganga njaa! Lakini on the other hand hawa wahamiaji haramu wanaishi maporini huko wakiganga njaa, na ndio maana hata tulipowafukuza warudi Rwanda baadhi yao walikimbilia Uganda badala ya Rwanda kwao.

2. Topic sio maendeleo ya Rwanda mkuu, rejea kichwa cha thread, topic ni utafiti unaoonyesha kuwa Rwanda ni sehemu bora zaidi ya kuishi barani Africa, na zaidi ya hapo utafiti huu unadai Rwanda na marekani zipo sawa sawa kwa viwango vya sehemu bora zaidi ya kuishi duniani. Hiyo ndio topic ambayo mimi najadili. Tumeingia huku kwenye mijadala ya wahamiaji haramu kwa sababu inashangaza kuona nchi ambayo inasemwa kuwa ina mazingira sawa ya kuishi kama marekani ndio inaongoza EAC kwa kutoa wahamiaji haramu kuja nchi zetu jirani. Hiki ni kitendawili.
 
Topic sio maendeleo ya Rwanda mkuu, rejea kichwa cha thread, topic ni utafiti unaoonyesha kuwa Rwanda ni sehemu bora zaidi ya kuishi barani Africa

Mkuu umechichanganya hapo,kwa kiswahili changu cha Mbagala naona kama umejirudia rudia...
 
Mkuu umechichanganya hapo,kwa kiswahili changu cha Mbagala naona kama umejirudia rudia...

hivi ndivyo nilivyoandika kwa ukamili:

2. Topic sio maendeleo ya Rwanda mkuu, rejea kichwa cha thread, topic ni utafiti unaoonyesha kuwa Rwanda ni sehemu bora zaidi ya kuishi barani Africa, na zaidi ya hapo utafiti huu unadai Rwanda na marekani zipo sawa sawa kwa viwango vya sehemu bora zaidi ya kuishi duniani. Hiyo ndio topic ambayo mimi najadili. Tumeingia huku kwenye mijadala ya wahamiaji haramu kwa sababu inashangaza kuona nchi ambayo inasemwa kuwa ina mazingira sawa ya kuishi kama marekani ndio inaongoza EAC kwa kutoa wahamiaji haramu kuja nchi zetu jirani. Hiki ni kitendawili.
 
Back
Top Bottom