nkanga chief
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 2,084
- 1,620
Rais magufuli tangu aingie madarakani kila kitu kipo hovyo kasimamisha ajira kwa muda usiojulikana kwa kisingizio cha uhakiki kawarudisha waajiriwa wapya kwa kisingizio cha uhakiki kabla hayajaisha amerukia suala la kuhamia Dodoma ili kutufumba macho watanzania.
Hii ni hatari na nchi haina pesa bora aseme tu uhakiki 2020 watanzania hatutakosea kuchagua
Hii ni hatari na nchi haina pesa bora aseme tu uhakiki 2020 watanzania hatutakosea kuchagua