mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,867
- 8,280
Speed ikoje kwa mliotumia?
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Hilo nalo neno,naona Tigo walianza vizuri ila sasa tena imekuwa mwendo wa kobe,Voda angalau wana mwendo kasi bado,hawa airtel bado hatujajua na Oh My God wao.