ukiona vifurushi vimefanana ujue mamlaka ya mawasiliano ndio imepangaViko safi , naona idea imetoka kwa tiGo bigboy
Speed ikoje kwa mliotumia?
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
speed yao ni ya kobe..ukitumia kma gb 1 speed inashuka mpaka 30kb/s hamna kitu hapo
Nyie mnaolalamikia speed mko wapi.? Mimi nakamua mpaka 7.2Mbps. Yaani ni burudani kabisa, buku 2500 kwa wiki natulia na GB 6. Now mechi hazinipiti, as most of them nastream bila kokoro