Udadisi umekaa kimasaburi zaidi. Ingawa nipo Chadema lakini sioni faida za utafiti wako. Labda kama unaweza kuzitaja.
Tangu lini ukawa chadema ww gamba?Udadisi umekaa kimasaburi zaidi. Ingawa nipo Chadema lakini sioni faida za utafiti wako. Labda kama unaweza kuzitaja.
Mwita25,Udadisi umekaa kimasaburi zaidi. Ingawa nipo Chadema lakini sioni faida za utafiti wako. Labda kama unaweza kuzitaja.
Tangu lini ukawa chadema ww gamba?
Mwita25,
Umehamia Chadema lini? Baada ya uchaguzi wa Igunga?
gamba babaaako
gamba babaaako
Mwita usibishane na watu wanaobeeb tu JF watakuharibia. Cha maana ni ukombozi ambao kwa sasa ni kama unataka kuwekwa kwa Magwanda baada ya kuonyesha wanaweza japokuwa system haiwasupport kabisa!gamba babaaako
Upo sahihi maisha ni kuchagua.Ha! Ha! Ha! Mwita25 utapata tabu kujielezea mpaka Magwanda wenzako wakuelewe.
Lakini ndio demokrasia