Gharama za smartphones & tablets Tanzania ni kubwa

Mwanapropaganda

JF-Expert Member
Aug 19, 2014
4,235
2,501
Haiwezekani ununue smartphone au tablet kwa laki nne ukiwa nje ya nchi halafu ukija bongo unaikuta inauzwa milioni na zaidi!

Au huwa zinalipiwa kodi kama magari bandarini? Gharama ya kununua simu mbovu mbovu zinazotumiwa sana na watu wa kipato cha chini inatosha kuwawezesha kununua hata Samsung galaxy s3 au hata s4 genuine, serikali ilifanyie kazi hili maana asilimia kubwa ya wananchi wake wanatumia simu feki ambazo ziko mbioni kufungiwa.
 
Haiwezekani ununue smartphone au tablet kwa laki nne ukiwa nje ya nchi halafu ukija bongo unaikuta inauzwa milioni na zaidi! Au huwa zinalipiwa kodi kama magari bandarini? Gharama ya kununua simu mbovu mbovu zinazotumiwa sana na watu wa kipato cha chini inatosha kuwawezesha kununua hata Samsung galaxy s3 au hata s4 genuine, serikali ilifanyie kazi hili maana asilimia kubwa ya wananchi wake wanatumia simu feki ambazo ziko mbioni kufungiwa.
Mkuu data zako ni kwa simu au tablet ipi na kutoka nchi gani? Am just curious to know that's all.
 
Mkuu kwani iPad haiwezi kutoka USA ikapelekwa dubai? Kwani haya magari tunayoagiza kutoka Dubai maana yake hayatoki Japan?
Iilikua ni swali tu najua yote yawezekana ila bei ni obvious itabadilika point ya swali langu ilikua hapo.
 
Hata Kenya tuu hapo, vitu kana simu na tabs ni bei rahisi kuliko hapa bongo. Tunapigwa sana aisee
 
Back
Top Bottom