Jamii yetu imekuwa ikivutwa na hisia zaidi kuliko kuangalia uhalisia wa jambo. Tumekuwa tukitumia pesa nyingi sana kwa kuchangia shughuli za harusi, mazishi, happybirthday part, kumtoa mtoto arobaini, kumcheza mtoto ngoma, ubatizo, kipaimara, maulid na mengineyo.
Kubwa zaidi ni mazishi ya KANUMBA eti watu wamechanga milioni 70; Nimejaribu kufuatilia gharama za mazishi katika nchi za wenzetu, yanakaribia dola $9000, imezidi sana haizidi dola $15,000. Hata hivyo gharama hizi kwa nchi za wenzetu inabidi ujiandae mwenyewe wakati wa uhai wako, kwa hiyo katika financial plan zako inabidi uweke na gharama za mazishi siku ukifa. Hapa bongo tunachangishana millioni 70 ndani ya wiki 1, halafu tunadai sisi ni maskini, hii ni laana tunajitafutia.
Kama kuchangiana ndio utamaduni wetu, kwa nini hatuna utamaduni wa kuchangiana katika mambo ya msingi...............??????, ELIMU, HUDUMA ZA AFYA, BIASHARA n.k
Kubwa zaidi ni mazishi ya KANUMBA eti watu wamechanga milioni 70; Nimejaribu kufuatilia gharama za mazishi katika nchi za wenzetu, yanakaribia dola $9000, imezidi sana haizidi dola $15,000. Hata hivyo gharama hizi kwa nchi za wenzetu inabidi ujiandae mwenyewe wakati wa uhai wako, kwa hiyo katika financial plan zako inabidi uweke na gharama za mazishi siku ukifa. Hapa bongo tunachangishana millioni 70 ndani ya wiki 1, halafu tunadai sisi ni maskini, hii ni laana tunajitafutia.
Kama kuchangiana ndio utamaduni wetu, kwa nini hatuna utamaduni wa kuchangiana katika mambo ya msingi...............??????, ELIMU, HUDUMA ZA AFYA, BIASHARA n.k