mwathu JF-Expert Member Sep 11, 2012 403 210 Feb 28, 2013 #1 Wadau naomba kujuzwa gharama za kusajili gari hapa nchini Tanzania bila kuhusisha garama za importation, kodi na bei ya gari.
Wadau naomba kujuzwa gharama za kusajili gari hapa nchini Tanzania bila kuhusisha garama za importation, kodi na bei ya gari.
JayK Member Feb 3, 2012 34 33 Feb 28, 2013 #2 mwathu said: Wadau naomba kujuzwa gharama za kusajili gari hapa nchini Tanzania bila kuhusisha garama za importation, kodi na bei ya gari. Click to expand... Kwa gari za kawaida isiyoizidi 2000cc ni shilingi laki tatu tu.. (TZS 300,000/=) hope that helps you out
mwathu said: Wadau naomba kujuzwa gharama za kusajili gari hapa nchini Tanzania bila kuhusisha garama za importation, kodi na bei ya gari. Click to expand... Kwa gari za kawaida isiyoizidi 2000cc ni shilingi laki tatu tu.. (TZS 300,000/=) hope that helps you out