josam
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 2,241
- 1,031
Ndg Wanajamvi,
Watetezi na waumini wa serikali 2 wanasema kuwa na serikali tatu kutaongeza gharama na Serikali ya Muungano haitakuwa na mapato hivyo Muungano kufa. Maswali ya kujiuliza;
1. Muungano wa serikali mbili uliopo sasa una gharama kiasi gani na nani anaugharimia?
2. Serikali ya Muungano inaendeshwa kwa mapato gani (taja vyanzo vikuu vya mapato 10)
3. Mapato yatokanayo na rasilimali za ndani yanatolewa na Nchi gani / zipi?
4. Je,Serikali ya Muungano inaendeshwa na Zanzibar na mikopo kutoka wafadhili kwani Tanganyika ambayo nayo ingechangia ilikufa?
5. Kwa vile huwezi kusema kuwa jambo lile ni ghari kuliko jingine bila kuwa na mlinganisho wa kimahesabu, je, watetezi wa serikali 2 wamefanya tathimini ya kuendesha serikali tatu na kuona kuwa ni ghari kuliko?
6. Kama jibu la swali la 5 hapo juu ni ndiyo, weka hapa mlinganisho wa gharama hizo kwa kuzingatia majawabu ya maswali no. 2, 3 na 4 hapo juu.
Binafsi sina majibu sahihi ya maswari hayo hapo juu zaidi ya kuhisi na sitaki kuendelea kuishi bila kuwa na majibu sahihi. Watetezi na waumini wa serikali 2 weka majibu hapa.
Note: Kinachotakiwa hapa ni ukweli utakao dhihilishwa kwa mahesabu yatakayokuwa yamejibu maswali tajwa hapo juu na lazima yawe majibu yaliyofanyiwa tafiti na yeyote atakaye yasoma aone kuna ukweli ndani yake. SIYO siasa.
Asante,
Josam
Watetezi na waumini wa serikali 2 wanasema kuwa na serikali tatu kutaongeza gharama na Serikali ya Muungano haitakuwa na mapato hivyo Muungano kufa. Maswali ya kujiuliza;
1. Muungano wa serikali mbili uliopo sasa una gharama kiasi gani na nani anaugharimia?
2. Serikali ya Muungano inaendeshwa kwa mapato gani (taja vyanzo vikuu vya mapato 10)
3. Mapato yatokanayo na rasilimali za ndani yanatolewa na Nchi gani / zipi?
4. Je,Serikali ya Muungano inaendeshwa na Zanzibar na mikopo kutoka wafadhili kwani Tanganyika ambayo nayo ingechangia ilikufa?
5. Kwa vile huwezi kusema kuwa jambo lile ni ghari kuliko jingine bila kuwa na mlinganisho wa kimahesabu, je, watetezi wa serikali 2 wamefanya tathimini ya kuendesha serikali tatu na kuona kuwa ni ghari kuliko?
6. Kama jibu la swali la 5 hapo juu ni ndiyo, weka hapa mlinganisho wa gharama hizo kwa kuzingatia majawabu ya maswali no. 2, 3 na 4 hapo juu.
Binafsi sina majibu sahihi ya maswari hayo hapo juu zaidi ya kuhisi na sitaki kuendelea kuishi bila kuwa na majibu sahihi. Watetezi na waumini wa serikali 2 weka majibu hapa.
Note: Kinachotakiwa hapa ni ukweli utakao dhihilishwa kwa mahesabu yatakayokuwa yamejibu maswali tajwa hapo juu na lazima yawe majibu yaliyofanyiwa tafiti na yeyote atakaye yasoma aone kuna ukweli ndani yake. SIYO siasa.
Asante,
Josam