Gharama ya uwekaji umeme laki nane na upotoshaji wa Waziri Makamba

LUS0MYA

JF-Expert Member
Aug 4, 2011
862
1,097
Mheshimiwa waziri atambue kuwa mita ya umeme, waya, na nguzo ni mali ya Tanesco na ndiyo capital asset yake, ili TANESCO isambaze umeme lazima iwe na hivyo vitu vinginevyo hakuna usambazaji unaofanyika.

Kimsingi jukumu la mtumiaji umeme ni kulipa bili ya umeme anaoutumia. TANESCO wamezoea vibaya kwa kusaidiwa na mtumiaji umeme kujenga miundombinu yake ambayo siyo kazi ya mtumiaji umeme. Kama hawana fedha Wakakope benki waweke miundombinu ya kutosha kwa watu na warejeshe hiyo mikopo baada ya kuuza umeme.

Kutokana na TANESCO kusaidiwa hii gharama wamebuni mipango ya hovyo ya kutumia fedha kama ile ya kumchukua mkandarasi kutoka India kwa ajili ya kupima performance ya utendaji kazi. Ningeshauri pia mtumiaji anayelipa hela ya kufungiwa umeme arudishiwe hata kwa njia ya unit zenyewe za umeme.

Mfano kama nimelipia laki nne kuweka mita basi luku yangu ifungwe ikiwa tayari na unit za umeme za kiwango hicho cha fedha.
 
Makamba kakwambia gharama ya kuweka umeme ni laki 8 nilitarajia ungeanishia kapotosha sababu gharama halisi ni ngapi kwa maoni Yako.

Point Yako ni valid kuwa gharama za kuunga umeme zibebwe na TANESCO sio mwananchi ila umeiwakilisha kichuki Sana Kwa Makamba. By the way huu ujinga wa kubebeshwa gharama za kuungiwa umeme ulianza tangu Enzi ya Nyerere hajauleta Makambakochi
 
Mheshimiwa waziri atambue kuwa mita ya umeme, waya, na nguzo ni mali ya Tanesco na ndiyo capital asset yake, ili TANESCO isambaze umeme lazima iwe na hivyo vitu vinginevyo hakuna usambazaji unaofanyika.

Kimsingi jukumu la mtumiaji umeme ni kulipa bili ya umeme anaoutumia. TANESCO wamezoea vibaya kwa kusaidiwa na mtumiaji umeme kujenga miundombinu yake ambayo siyo kazi ya mtumiaji umeme. Kama hawana fedha Wakakope benki waweke miundombinu ya kutosha kwa watu na warejeshe hiyo mikopo baada ya kuuza umeme.

Kutokana na TANESCO kusaidiwa hii gharama wamebuni mipango ya hovyo ya kutumia fedha kama ile ya kumchukua mkandarasi kutoka India kwa ajili ya kupima performance ya utendaji kazi. Ningeshauri pia mtumiaji anayelipa hela ya kufungiwa umeme arudishiwe hata kwa njia ya unit zenyewe za umeme.

Mfano kama nimelipia laki nne kuweka mita basi luku yangu ifungwe ikiwa tayari na unit za umeme za kiwango hicho cha fedha.
Mpendwa Mteja !

Zifuatazo ni gharama halisi za kuunganishiwa umeme kuanzia tarehe 5/01/2022

Gharama za kuunganisha umeme mjini ndani ya mita 30 kwa mteja wa njia moja kutoka kwenye miundombinu ya umeme ni shilingi 320,960/=,

Mteja wa njia moja ndani ya mita 70 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 515,618/=,

Umbali wa njia moja ndani ya mita 120 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 696,670/=

Aidha, gharama za kuunganisha umeme ndani ya mita 30 kwa mteja wa njia tatu kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 912,014/=,

Mteja wa njia tatu ndani ya mita 70 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 1,249,385/=,

umbali wa njia tatu ndani ya mita 120 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 1,639,156/=.

Zingatia

Gharama ya kuunganisha umeme vijijini kwa wateja wa njia moja ni shilingi 27,000/= kama ilivyoelekezwa na EWURA.

NB: Gharama zote zimejumuisha Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT).
 
Mheshimiwa waziri atambue kuwa mita ya umeme, waya, na nguzo ni mali ya Tanesco na ndiyo capital asset yake, ili TANESCO isambaze umeme lazima iwe na hivyo vitu vinginevyo hakuna usambazaji unaofanyika.

Kimsingi jukumu la mtumiaji umeme ni kulipa bili ya umeme anaoutumia. TANESCO wamezoea vibaya kwa kusaidiwa na mtumiaji umeme kujenga miundombinu yake ambayo siyo kazi ya mtumiaji umeme. Kama hawana fedha Wakakope benki waweke miundombinu ya kutosha kwa watu na warejeshe hiyo mikopo baada ya kuuza umeme.

Kutokana na TANESCO kusaidiwa hii gharama wamebuni mipango ya hovyo ya kutumia fedha kama ile ya kumchukua mkandarasi kutoka India kwa ajili ya kupima performance ya utendaji kazi. Ningeshauri pia mtumiaji anayelipa hela ya kufungiwa umeme arudishiwe hata kwa njia ya unit zenyewe za umeme.

Mfano kama nimelipia laki nne kuweka mita basi luku yangu ifungwe ikiwa tayari na unit za umeme za kiwango hicho cha fedha.
Hawatafanya hilo hadi kufa kwako au kufa kwako.Watakula wapi?
 
Mpendwa Mteja !

Zifuatazo ni gharama halisi za kuunganishiwa umeme kuanzia tarehe 5/01/2022

Gharama za kuunganisha umeme mjini ndani ya mita 30 kwa mteja wa njia moja kutoka kwenye miundombinu ya umeme ni shilingi 320,960/=,

Mteja wa njia moja ndani ya mita 70 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 515,618/=,

Umbali wa njia moja ndani ya mita 120 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 696,670/=

Aidha, gharama za kuunganisha umeme ndani ya mita 30 kwa mteja wa njia tatu kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 912,014/=,

Mteja wa njia tatu ndani ya mita 70 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 1,249,385/=,

umbali wa njia tatu ndani ya mita 120 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 1,639,156/=.

Zingatia

Gharama ya kuunganisha umeme vijijini kwa wateja wa njia moja ni shilingi 27,000/= kama ilivyoelekezwa na EWURA.

NB: Gharama zote zimejumuisha Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT).
Breakdown Ikoje? Yaani hio 696,670 imefikiwaje? Ni gharama za MITA, waya, nguzo n.k? Au hizo figure zinakuaje?? Natanguliza shukrani
 
Mpendwa Mteja !

Zifuatazo ni gharama halisi za kuunganishiwa umeme kuanzia tarehe 5/01/2022

Gharama za kuunganisha umeme mjini ndani ya mita 30 kwa mteja wa njia moja kutoka kwenye miundombinu ya umeme ni shilingi 320,960/=,

Mteja wa njia moja ndani ya mita 70 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 515,618/=,

Umbali wa njia moja ndani ya mita 120 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 696,670/=

Aidha, gharama za kuunganisha umeme ndani ya mita 30 kwa mteja wa njia tatu kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 912,014/=,

Mteja wa njia tatu ndani ya mita 70 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 1,249,385/=,

umbali wa njia tatu ndani ya mita 120 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 1,639,156/=.

Zingatia

Gharama ya kuunganisha umeme vijijini kwa wateja wa njia moja ni shilingi 27,000/= kama ilivyoelekezwa na EWURA.

NB: Gharama zote zimejumuisha Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT).
Watumiaji wanahoji :kwa nini hizi gharama za nguzo ziwe za mteja badala ya Tanesco!! Swala la ufafanuzi wa umbali siyo hoja yake. JE Ile lakini ikijengwa inakuwa mali yake au ya umma!!
 
Huu nadhani ni prelude to Sale....

Give a Dog a Bad Name so might Kill It.....

Huyu Jamaa hivi hakuna Wizara ambayo hakuna impact kubwa jamaa akapelekwa huko akalambe asali bila ku-cause major problems ?

Au kama vipi apelekwe Ikulu (kule alikopelekwa Lukuvi kimagumashi) ili akamsaidie Rais
 
TANESCO, post:
Mpendwa Mteja !

Zifuatazo ni gharama halisi za kuunganishiwa umeme kuanzia tarehe 5/01/2022

Gharama za kuunganisha umeme mjini ndani ya mita 30 kwa mteja wa njia moja kutoka kwenye miundombinu ya umeme ni shilingi 320,960/=,

Mteja wa njia moja ndani ya mita 70 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 515,618/=,

Umbali wa njia moja ndani ya mita 120 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 696,670/=

Aidha, gharama za kuunganisha umeme ndani ya mita 30 kwa mteja wa njia tatu kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 912,014/=,

Mteja wa njia tatu ndani ya mita 70 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 1,249,385/=,

umbali wa njia tatu ndani ya mita 120 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 1,639,156/=.

Zingatia

Gharama ya kuunganisha umeme vijijini kwa wateja wa njia moja ni shilingi 27,000/= kama ilivyoelekezwa na EWURA.

NB: Gharama zote zimejumuisha Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT).[/QUOTE]G
 
Mpendwa Mteja !

Zifuatazo ni gharama halisi za kuunganishiwa umeme kuanzia tarehe 5/01/2022

Gharama za kuunganisha umeme mjini ndani ya mita 30 kwa mteja wa njia moja kutoka kwenye miundombinu ya umeme ni shilingi 320,960/=,

Mteja wa njia moja ndani ya mita 70 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 515,618/=,

Umbali wa njia moja ndani ya mita 120 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 696,670/=

Aidha, gharama za kuunganisha umeme ndani ya mita 30 kwa mteja wa njia tatu kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 912,014/=,

Mteja wa njia tatu ndani ya mita 70 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 1,249,385/=,

umbali wa njia tatu ndani ya mita 120 kutoka kwenye miundombinu ya umeme shilingi 1,639,156/=.

Zingatia

Gharama ya kuunganisha umeme vijijini kwa wateja wa njia moja ni shilingi 27,000/= kama ilivyoelekezwa na EWURA.

NB: Gharama zote zimejumuisha Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT).
Naomba kujua Kama naitaji kuunganishiwa umeme ila nimezidi mita 30 Yani nipo Kati ya mita 40 Hadi 50 je apa nitaunganishwa kwa gharama ipi ya mita 30 au 70
 
Mheshimiwa waziri atambue kuwa mita ya umeme, waya, na nguzo ni mali ya Tanesco na ndiyo capital asset yake, ili TANESCO isambaze umeme lazima iwe na hivyo vitu vinginevyo hakuna usambazaji unaofanyika.

Kimsingi jukumu la mtumiaji umeme ni kulipa bili ya umeme anaoutumia. TANESCO wamezoea vibaya kwa kusaidiwa na mtumiaji umeme kujenga miundombinu yake ambayo siyo kazi ya mtumiaji umeme. Kama hawana fedha Wakakope benki waweke miundombinu ya kutosha kwa watu na warejeshe hiyo mikopo baada ya kuuza umeme.

Kutokana na TANESCO kusaidiwa hii gharama wamebuni mipango ya hovyo ya kutumia fedha kama ile ya kumchukua mkandarasi kutoka India kwa ajili ya kupima performance ya utendaji kazi. Ningeshauri pia mtumiaji anayelipa hela ya kufungiwa umeme arudishiwe hata kwa njia ya unit zenyewe za umeme.

Mfano kama nimelipia laki nne kuweka mita basi luku yangu ifungwe ikiwa tayari na unit za umeme za kiwango hicho cha fedha.
Umeandika vitu vigumu sana ambao walamba asali hawatakuelewa .makamba mwenyewe sijui kama kichwani anajua hilo
 
Mheshimiwa waziri atambue kuwa mita ya umeme, waya, na nguzo ni mali ya Tanesco na ndiyo capital asset yake, ili TANESCO isambaze umeme lazima iwe na hivyo vitu vinginevyo hakuna usambazaji unaofanyika.
ukisoma kichwa cha habari na ulichoandika haviendani hata kidogo!
 
Back
Top Bottom