MotoYaMbongo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,146
- 884
Wizara ya viwanda na biashara ya Ghana, imepitisha sheria ya kuzuia wageni kuwekeza ktk miradi ambayo inaweza kuwekezwa na wenyeji wazalendo. Fursa hii imetolewa ili kuweke uchumi wa nchi mikononi mwa wazalendo ili kupunguza umaskini. Je Tanzania tuko ktk hatua ipi?