Ukata wa dola Tanzania, tufanye haya kuepuka

mwanamichakato

JF-Expert Member
Mar 20, 2015
891
707
✅Nadhani tupunguze matumizi yasio ya lazima, kuna miradi ya miundombinu isioendana na uhalisia wa uchumi wetu na miradi inayofilisi nchi sababu malipo mengi yanafanyika Kwa dola huku vyanzo vikibaki vile vile.

✅Tuepuke kuchukua mikopo mikubwa kufanya miradi isio na tija.Mikopo mikubwa iidhinishwe na CAG,Technocrats na Baraza la Usalama wa Taifa badala ya wanasiasa pekee.

✅Katazo na onyo kali litolewe kuzuia malipo mbalimbali kufanywa Kwa fedha Za kigeni ndani ya nchi (Rent,fees,Ticket Za ndege,Tozo,etc)..

✅Strategic bilateral agreements zifanywe dhidi ya nchi ambazo tunanunua zaidi commodities (Vyakula,Raw materials,Spares,etc) ili settlement Za malipo yafanyike Kwa kutumia local currency.

✅Tuvufungue Milango zaidi kuruhusu FDI Kwa kupunguza masharti yasio na tija..urasimu na kufuata Mashauri magumu ya mabeberu Wawekezaji walete mitaji Kwa wingi.

✅Watanzania walioiba fedha kuoitia utumishi wa umma na Rushwa wapewe amnesty ili kuzirudisha nyumbani na kwenye mzunguko (Mabilioni ya dola yamefichwa kwenye visiwa -Safe heavens na waliokuwa viongozi,viongozi).

✅Tupige marufuku wageni kuja na kufanya biashara ya export ya Mazar na madini tokea kwenye roots..Watoe kazi Kwa wazawa kuepuka mapato mengi ya exports kuondoka nchini.

✅Mashamba makubwa 500 yaanzishwe kimkakati yenye ukubwa kati ya ekari 2000 mpaka 5000 Kwa mkulima mmoja..mikopo ya fedha na mitambo isio na riba Itolewe kuchochea kilimo ktk mazao makuu 7 (Ngano,Mahindi,kahawa,Alizeti,Mpunga,Korosso,Kunde,Ufuta,Miwa,Chai,Maharagwe..etc,Wahitimu wa kilimo ewalazimishwe kufanya kazi za uzalishaji vijijini Kwa kupewa ruzuku na vifaa na mitambo ya kilimo .

✅Ujenzi wa viwanda 200 kupitia EPZA.Wazawa wawezeshwe kupanua na kujenga viwanda kupitia EPZA ili kuboost export ktk kupitia export demands zilizopo na uongezaji thamani’mfano.Nguo,ngozi,Maziwa,Chakula,etc

✅Tuwazuie wageni kuhodhi logistics na supply chain business Kama Customs Clearance,Transport and Freight Forwarding..Hiki ni chanzo kikubwa cha Forex Kwa nchi..Wachina wametamalaki Kwa sasa wanazishika kazi tokea uchina,Hao hao wanafungua na kununua makampuni Tanzania,Zambia,DRC,Uganda hivyo kudhibiti mapato Kwa zaidi ya asilimia 85..

✅Misafara mikubwa ya viongozi wa kitaifa wanapofanya safari Za nje ipunguzwe haraka kuepusha mahitaji ya dola Kwa wanamisafara hivyo kusababisha demand zisizokuwa Za lazima..Tafiti zifanyike Kwa safari moja ya kiongozi yenye msafara wa watu 150 mpaka 200..Kwenye soko zinanunuliwa dola kiasi gani?

✅Miradi ya Liganga na Mchuchuma,Siasa ziwekwe pembeni,Mizengwe ifutwe..Mwekezaji aanze uchimbaji tuuze chuma nje..Tupate mapato endelevu based on lucrative deposits.
 
✅Nadhani tupunguze matumizi yasio ya lazima,Kuna miradi ya kisiasa inayofirisi nchi sababu malipo mengi yanafanyika Kwa dola huku vyanzo vikibaki vile vile.

✅Katazo na onyo kali litolewe kuzuia several transactions kufanywa Kwa dola (Rent,Tozo,etc)..

✅Strategic bilateral agreements zifanywe dhidi ya nchi ambazo tunanunua zaidi commodities (Vyakula,Raw materials,Spares,etc) ili settlement Za malipo yafanyike Kwa kutumia local currency.

✅Tuvufungue Milango zaidi kuruhusu FDI Kwa kupunguza masharti yasio na tija..Wawekezaji walete mitaji Kwa wingi.

✅Watanzania walioiba fedha kuoitia utumishi wa umma na Rushwa wapewe amnesty ili kuzirudisha nyumbani na kwenye mzunguko (Mabilioni ya dola yamefichwa kwenye visiwa -Safe heavens na waliokuwa viongozi,viongozi).

✅Tupige marufuku wageni kuja na kufanya biashara ya export tokea kwenye roots..Watoe kazi Kwa wazawa kuepuka mapato mengi ya exports kuondoka nchini.

✅Mashamba makubwa 500 yaanzishwe kimkakati yenye ukubwa kati ya ekari 2000 mpaka 5000 Kwa mkulima mmoja..mikopo ya fedha na mitambo isio na riba Itolewe kuchochea kilimo ktk mazao makuu 7 (Ngano,Mahindi,kahawa,Alizeti,Mpunga,Korosso,Kunde,Ufuta,Miwa,Chai,Maharagwe..etc,Wahitimu wa kilimo ewalazimishwe kufanya kazi za uzalishaji vijijini Kwa kupewa ruzuku na vifaa na mitambo ya kilimo .

✅Ujenzi wa viwanda 200 kupitia EPZA.Wazawa wawezeshwe kupanua na kujenga viwanda kupitia EPZA ili kuboost export ktk kupitia export demands zilizopo na uongezaji thamani’mfano.Nguo,ngozi,Maziwa,Chakula,etc
You are wrong. Raia tunatakiwa tuondoe CCM madarakani. Haya uliyoandika yote ni ku-deal na dalili badala ya ugonjwa.
 
Tuzuie manunuzi tasiyofaa ya bidha zisizo na umuhimu kutoka nje yabnchi... Mfano toothpicks, biscuits, candies etc
 
Hii nchi haina wazawa bali wamejazana machawa wa ccm wanaopigania matumbo yao na si maendeleo ya nchi!!
 
Nadhani tupunguze matumizi yasio ya lazima, kuna miradi ya kisiasa inayofilisi nchi sababu malipo mengi yanafanyika Kwa dola huku vyanzo vikibaki vile vile.

Katazo na onyo kali litolewe kuzuia several transactions kufanywa Kwa dola (Rent,Tozo,etc)..

Strategic bilateral agreements zifanywe dhidi ya nchi ambazo tunanunua zaidi commodities (Vyakula,Raw materials,Spares,etc) ili settlement Za malipo yafanyike Kwa kutumia local currency.

Tuvufungue Milango zaidi kuruhusu FDI Kwa kupunguza masharti yasio na tija..Wawekezaji walete mitaji Kwa wingi.

Watanzania walioiba fedha kuoitia utumishi wa umma na Rushwa wapewe amnesty ili kuzirudisha nyumbani na kwenye mzunguko (Mabilioni ya dola yamefichwa kwenye visiwa -Safe heavens na waliokuwa viongozi,viongozi).

Tupige marufuku wageni kuja na kufanya biashara ya export tokea kwenye roots..Watoe kazi Kwa wazawa kuepuka mapato mengi ya exports kuondoka nchini.

Mashamba makubwa 500 yaanzishwe kimkakati yenye ukubwa kati ya ekari 2000 mpaka 5000 Kwa mkulima mmoja..mikopo ya fedha na mitambo isio na riba Itolewe kuchochea kilimo ktk mazao makuu 7 (Ngano,Mahindi,kahawa,Alizeti,Mpunga,Korosso,Kunde,Ufuta,Miwa,Chai,Maharagwe..etc,Wahitimu wa kilimo ewalazimishwe kufanya kazi za uzalishaji vijijini Kwa kupewa ruzuku na vifaa na mitambo ya kilimo .

Ujenzi wa viwanda 200 kupitia EPZA.Wazawa wawezeshwe kupanua na kujenga viwanda kupitia EPZA ili kuboost export ktk kupitia export demands zilizopo na uongezaji thamani’mfano.Nguo,ngozi,Maziwa,Chakula,etc
In an open free market economy price mechanism should be left to determine the existence of foreign exchange with only minimal government intervention otherwise you will create more and dangerous economic instability
 
Nadhani tupunguze matumizi yasio ya lazima, kuna miradi ya kisiasa inayofilisi nchi sababu malipo mengi yanafanyika Kwa dola huku vyanzo vikibaki vile vile.

Katazo na onyo kali litolewe kuzuia several transactions kufanywa Kwa dola (Rent,Tozo,etc)..

Strategic bilateral agreements zifanywe dhidi ya nchi ambazo tunanunua zaidi commodities (Vyakula,Raw materials,Spares,etc) ili settlement Za malipo yafanyike Kwa kutumia local currency.

Tuvufungue Milango zaidi kuruhusu FDI Kwa kupunguza masharti yasio na tija..Wawekezaji walete mitaji Kwa wingi.

Watanzania walioiba fedha kuoitia utumishi wa umma na Rushwa wapewe amnesty ili kuzirudisha nyumbani na kwenye mzunguko (Mabilioni ya dola yamefichwa kwenye visiwa -Safe heavens na waliokuwa viongozi,viongozi).

Tupige marufuku wageni kuja na kufanya biashara ya export tokea kwenye roots..Watoe kazi Kwa wazawa kuepuka mapato mengi ya exports kuondoka nchini.

Mashamba makubwa 500 yaanzishwe kimkakati yenye ukubwa kati ya ekari 2000 mpaka 5000 Kwa mkulima mmoja..mikopo ya fedha na mitambo isio na riba Itolewe kuchochea kilimo ktk mazao makuu 7 (Ngano,Mahindi,kahawa,Alizeti,Mpunga,Korosso,Kunde,Ufuta,Miwa,Chai,Maharagwe..etc,Wahitimu wa kilimo ewalazimishwe kufanya kazi za uzalishaji vijijini Kwa kupewa ruzuku na vifaa na mitambo ya kilimo .

Ujenzi wa viwanda 200 kupitia EPZA.Wazawa wawezeshwe kupanua na kujenga viwanda kupitia EPZA ili kuboost export ktk kupitia export demands zilizopo na uongezaji thamani’mfano.Nguo,ngozi,Maziwa,Chakula,etc
Mkuu aina ya mawazo kama hayo ni ya "command economy" kama ile ya Nyerere ilio tuletea matatatizo zaidi mpaka lea spirover zake bado zipo.
 
Mkuu aina ya mawazo kama hayo ni ya "command economy" kama ile ya Nyerere ilio tuletea matatatizo zaidi mpaka lea spirover zake bado zipo.

Inabidi ili kuvuka
Tusipochukua hatua sasa tuendako ni Giza nene
 
Uchawa umeharibu nchi.
Hadi katelefoni ni chawa wa maza, hana maamuzi kabisa

Kwa katiba tulionayo uwezi kuepuka uchawa

Katiba imerundika mamlaka kuu mnoo Kwa Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano..

Mh Rais akikununia Week tu unaweza pata stroke..

Tuwaombee viongozi wetu Wazidi kujaaliwa hekima,Utu na busara Maana wakiamua kutenda Kwa undava Hakuna anaeweza kupona
 
Kuiondoa CCM halafu ulete upuuzi gani utakaoweza fanya hayo mambo, c kwa vyama vya upinzan tulivyo navyo bora CCM
 
Nadhani ni kosa kubwa kuwategemea wanasiasa kwenye mambo yanayohitaji nia thabiti,ufahamu wenye rutuba na maamuzi yenye udhati ktk kupata maendeleo endelevu.

Wanasiasa ni wafanyabiashara wenye kutumia mifumo dhaifu kujitajirisha at the expense ya umaskini wa wanaoitwa wanyonge..

Niambie ni mwanasiasa gani Mwenye madaraka Kwa miaka mitano tu alie maskini?

Ni mwanasiasa gani mwenye madaraka makubwa anaeweza kueleza ukweli wa utajiri wake na namna aliupata?

Wataalaam na wabobezi wapo ktk kila nyanja but do we value their consultative thinking? Leo wanasiasa wana nguvu ya kufanya lolote,Popote na vyovyote na asiwepo wa kuhoji..

Maamuzi yenye tafiti Za kina yanapaswa kufanywa kupata maendeleo ya kweli..Nchi yetu sio maskini
 
Tatizo ni udhibiti bidhaa zinatoka malighafi badala ya final product ambazo nchi ingepata fedha kigeni matokeo yake kinachopatikana ni kidogo akikidhi mahitaji
 
Back
Top Bottom