GP
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 2,049
- 160
hahaaaaa, mkuu usisahau na BANTA!!Mkuu hebu nipe gharama za malazi mle mbugani ina range kiasi gani kwa siku na gharama za bia ni kiasi gani?
hahaaaaa, mkuu usisahau na BANTA!!Mkuu hebu nipe gharama za malazi mle mbugani ina range kiasi gani kwa siku na gharama za bia ni kiasi gani?
Pale panafahamika ,jina lake lilishatajwa.
Mkuu hebu nipe gharama za malazi mle mbugani ina range kiasi gani kwa siku na gharama za bia ni kiasi gani?
hahaaaaa, mkuu usisahau na BANTA!!
wapwa ni muda sasa toka mpwa kaizer atoe thread ya get tugedha ya mikumi sasa umefika muda muafaka wa kukutana wapwa na ku analyse cost za huko tutakako enda kama nilivyo pendekeza initial cost iwe 100,000/= hii kwa ajili ya msosi, usafiri, na hata malazi itategemea wapwa tutakapo kutana week end hii. Jamani week end hii tukutane na kuchanganua gharama za get tugedha bab'kubwa.
Nawakilisha.
wenye nia thabiti tubadilishane nambari za simu,
yangu ni 0717 45 44 55
Hahahaha unaogopa? au unamwogoa Nguli?
Mbona hatuna taarifa wengine? haya pigeni simu na sisi mtupe mambo. 0665 447 788. ukipiga mention the name ya humu then tuanzie hapo. thax
Hahahaha unaogopa? au unamwogoa Nguli?
Na wale ambao hatuna simu inakuwaje?
hahahaaaa, nilikua sina wa kwenda nae mbugani, Loh air ticket ya return inakuja this weekend!.Jamani nitawapigia simu mkikutana
Ni-PM. Ujitambulishe mapema kabisa kama wewe ni he/she.