babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,112
- 16,016
umeingia lini ulaya ndugu?maana mada zako zote ni negative tu,hujaridhika na maisha geuka tu kipawa inakungoja.ni kweli mkuu. Basi kwa nini sisi waafrika tunawapenda hao ngozi nyeupe? Tena tunawapapatikia na kuwaheshimu. Kwa nini sasa wanatudharau kwa sisi kuwanyenyekea