Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,671
- 28,976
- Thread starter
- #21
ni kweli mkuu. Basi kwa nini sisi waafrika tunawapenda hao ngozi nyeupe? Tena tunawapapatikia na kuwaheshimu. Kwa nini sasa wanatudharau kwa sisi kuwanyenyekeaMpendwa rejea uzi wa INDIA !! ulikuwa na wenzio mkipayuka maneno ya Hasira na Povu jingi!!! SASA bado Mnawageukia wadhungu !!! YAANI baadhi ya waafrika kwanini hupenda kulia lia na kulaumu na kujidhalilisha ....hata threads na posts nyingi mnazopost ni KUONEWA !!! wakati adui wa Mwafirika ni MwaFirika mwenyeweeee...!!!
eeeh Mungu tusamehe na awasamehe....