Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,570
- 19,444
Kichuguu,' The simple answer is no. Ukijua fungu ambalo Tanzania ilitumia katika ukombozi wa Afrika utazimia. Na kama harakati za ukombozi zingekuwa zinafanyika leo Tanzania tungekuwa bubu kama Kenya ilivyokuwa enzi hizo.
Tanzania si nchi masikini kama tunavyodhania. Hata Zambia kuna wakati walikuwa wanaishiwa hela wanakimbilia Dar.
Tuliskwanda mtaji?