Gen. Mrisho Sarakikya aliwahi kuhusishwa na Uhaini?

Kwa hiyo mwandika paper reference zako unaandikaje kwenye project yako.
Liabilityya data collection zako inakuwaje ,wanakubali data kutoka kwenye blog na wikipedia?
Nachelea kuwa hapo ktk taarifa hii hakuna chanzo cha ku acknowledge zaidi ya kuweka kwenye mabano hear says!Unless otherwise habari ziwe official ama ktk kumbukumbu za serikali.

Na ktk yote utakayoyasikia utajua lipi kuwa ndilo sahihi au la kulifuata? Utatumia biased statistics ya kuchagua watu unaowaamini na kuwasilikiza hao ama random statistics kuangalia wengi wamesema nini!?
Yote hii nikutaka kujua ,inawezekana nikajifunza namna mpya ya data collection and analysis maana kila siku tunajifunza mambo na namna mpya ya ku approach mambo.

Kuhusu swali lako kwa kweli sijui kitu ila nanufaika nalo kwa kupata habari mbalimbali hapa ambazo zingine nilikuwa sijui na zina sound good.
I wish you the best in your project .
 
Pamoja na maelezo mazuri na hoja zilizotolewa, naamini kama unataka kuandika paper makini zaidi ni vyema ukapata maoni ya General Sarakikya mwenyewe. Kwa jinsi ninavyofahamu, General ni mtu muwazi sana na katika hilo naamini atakupa ushirikiano mzuri kama ukitaka. Makazi yake kwa sasa ni Arusha na mara nyingi anapatikana muda wa jioni kwenye club yao ya golf hapo Arusha. Kwa sasa nafikiri amesharejea kutoka michezo ya olimpic kwani kwa michezo ni mpenzi mzuri na hakosi kushiriki kama mwangalizi kwenye mashindano yote ya olimpic.
 
Maj. Sarakikya alikuwa karibu na wale waliotuhumiwa na uhaini wa mwaka 1971 ingawa hakuhusika moja kwa moja.
 
Hili la Sarakikya kuwa mhaini nililisikia hata mimi. Intelligence kipindi cha mwalimu ilikuwa juu na ndiyomaana aligundua na kumwondoa jeshini. Alitupwa Ethiopia na Nigeria na baadaye akaja kuozea Kenya. I believe the ol man regreted his actions. Kuhusu che mkapa, ni kuwa kabla ya Mwalimu kufariki walikuwa siyo marafiki tena. Mwalimu aligundua kuwa Mkapa hakuwa Mr. cleanman kama alivyofikiria awali. Mkapa alipoelezwa na Mwalimu akawa mkorofi na kuamua kufanya yale ambayo Nyerere kamwe asingefanya. That explains kwanini Mkapa alianza kuwakumbatia "maadui" wa Mwalimu. It is also said that had Mkapa wanted, Nyerere asingefia Uingereza kwani kuna mataifa kama Kuba na Ujerumani yana medical facilities bora zaidi ambayo yangeweza kudeal na tatizo la Nyerere. All said and done, kama Sarakikya alikuwa mhaini au la hatuwezi kujua kwani kitendo akikukamilika na wala hata attempt ya kufanya hivyo haikuwahi kufanywa. What we have are mere intelligence informations. Sasa wewe unayeandika paper sijui thesis yako ni nini katika hili. ningekuwa ni mwalimu wako ningekupa a flat C maana hujui ni wapi pa kutafuta research information. Hapa unaweza kupata leads to lakini data unaweza kuzipata mahala pengine. These are confidential informations na unless kuna declassification, you will end up with no substantive facts to back your thesis.
 
Maj. Sarakikya alikuwa karibu na wale waliotuhumiwa na uhaini wa mwaka 1971 ingawa hakuhusika moja kwa moja.

Nafikiri huu ndio ukweli wenyewe. Sarakikya hakufukuzwa kazi muda wote huu hadi alipostaafu aliendelea kutumikia serikali katika madaraka mengine huku akiwa ni Major General wa jeshi la wananchi wa Tanzania. Kupandishwa kwake cheo kuwa General kulitokana na sherehe za miaka 40 ya JWTZ walipoamua kuwaenzi viongozi wa kwanza wa jeshi hilo; sasa kwa vile Sarakikya alikuwa bado ni mwanajeshi na ndiye aliyekuwa CDF wa kwanza ambaye ndiye pekee aliyekuwa Major General, ikabidi apandishwe cheo kuwa General kulingana na maCDF wenzie waliopita na kuagwa rasmi kijeshi.
 
Ukiacha hilo la mgomo, waliotaka kumpindua nyerere ni akina luteni Eugene Maganga, Kadego, Mak Gee nk. Hakuwapo Sarakikya na hawa jamaa walikamatwa na kufungwa hadi Mwinyi alipowatoa jela kwa msamaha wa rais. Sijawahi kusikia Sarakikya ktk uhaini.
 
Hili la Sarakikya kuwa mhaini nililisikia hata mimi. Intelligence kipindi cha mwalimu ilikuwa juu na ndiyomaana aligundua na kumwondoa jeshini. Alitupwa Ethiopia na Nigeria na baadaye akaja kuozea Kenya. I believe the ol man regreted his actions.

Asante kwa shule Jobo...

Sasa wewe unayeandika paper sijui thesis yako ni nini katika hili. ningekuwa ni mwalimu wako ningekupa a flat C maana hujui ni wapi pa kutafuta research information. Hapa unaweza kupata leads to lakini data unaweza kuzipata mahala pengine. These are confidential informations na unless kuna declassification, you will end up with no substantive facts to back your thesis.

First of all, hii paper sio ya ki-shule. Ni paper ambayo inaelezea hali ya ki-siasa ya Tanzania tangu tupate uhuru mpaka leo hii. So, nikuondoe wasiwasi mkuu, haitakuwa graded.

Also, I know that these are confidential info, ndo' maana nikaamua kuweka hii issue hapa JF. Kwasababu, nimekusanya baadhi ya info toka kwa watu waliokuwa serikalini kipindi hicho, lakini maelezo yao yanaonyesha kama kuna kitu hawataki kufichua...

JF ni chama kubwa, na ninaimani kuwa kuna watu wanafahamu hii issue vizuri, wenye uwezo wa kutupatia info nzuri kuliko wengi wenu mnavyodhani/underestimate. So, ninachotafuta hapa ni leads. Plus, nikishakusanya hizo unazoziita "substantive facts," nitazifanyia vetting tena na tena na tena.
 
Rev.Kishoka,Gustanza-The,kichuguu,Jasusi,

..kuna speculation nyingine kwamba Sarakikya alitaka kuwaondoa Jeshini maofisa wazee waliokuwa na elimu za wasiwasi.

..sasa kabla hajafanikisha mipango yake habari zikamfikia Nyerere. kilichotokea ni yeye kuondolewa, pamoja na maofisa wengi tu waliosoma Uingereza na Canada.

..Sarakikya came to realize kwamba jeshi lina "wenyewe", but it was already too late.

NB:

..binafsi napinga sana hujuma za kiuchumi zilizotokea wakati wa Mkapa. lakini kuna shutuma dhidi yake hapa ambazo hazina msingi kabisa.

..kitendo cha Mkapa "kumfuta jasho" Chief Fundikira, au Bibi Mohamed Titi, naamini kilikuwa cha kiungwana.

..siyo kweli kwamba Mkapa alikuwa akisaidia "maadui" wa Mwalimu. Mkapa alifikia mpaka kumsaidia Mzee Timothy Apiyo[chief secretary wa Mwalimu] aliyekuwa amesahaulika akiugua kule Ukonga.

..Mkapa huyo huyo akamsaidia Mzee Mourice Nyunyusa ambaye RTD ilitumia midundo yake bila kumpa malipo yoyote.

..Mkapa kwa misaada yake mpaka akapewa heshima ya kuwa mwana-ukoo wa kina Nyerere.
 
Hii ya Sarakikya kuondolewa jeshini haikuwa na mizengwe. Julius alimwita pale Msasani akampasha juu ya njama zake za kupindua serikali, Sarakikya akabaki mdomo wazi.


Hili na mimi nimelisikia...

Few questions though: Eti kuna kitabu kinaitwa, "Uhaini wa Sarakikya?" Na ninani aliyeandika hicho kitabu? Je, kuna aliyewahi kukisoma? Na naweza kukipata wapi?
 
General Sarakikya alihamishwa JWTZ sometime in early 1974 na akafanywa waziri wa utamaduni na michezo. Sababu za kutolewa JWTZ hazikutangazwa lakini nafasi yake kama CDF ilichukuliwa na Gen Twalipo ambaye alikuwa RC wa Kagera nafikiri. Mwalimu pia alicreate new strcture kama nafasi ya Chief of Staff ambayo alimteua Brig. Nkwera au Mkwera na Western and Eastern Brigades ambapo aliwateua Col. Mayunga na Musuguri na kuwapandisha vyeo kuwa Ma-Brigediar. Pamoja na Sarakikya pia walihamishwa toka JWTZ quite a number of officers -Col. Marealle; Lt. Col Metili & Kibola; Ma-Major Ndosi & Mrema pamoja na several officers at Captain and Lieut. level e.g. Mushi; Nkya; Ihula; Bob Nasser etc. Most of them were from the Kilimanjaro/Arusha regions. They were transferred to senior positions in parastatals and the civil service. It was this transfer which led to rumours that there was something brewing in the JWTZ aganst the government.

It is important to recognize kuwa mabadiliko haya yalitokea baada ya the first invasion of Uganda by Uganda rebels based in TZ through Mutukula. Invasion hii ambaye ilitokea July 1972 failed very badly and the invaders were routed by Idi Amin who also bombed Bukoba and Mwanza. This routing of the rebels led to the Mogadishu peace agreement between TZ na Idi Amin - John Malecela was the Foreign Minister and he led the TZ delegation to Mogadishu and he did an excellent job in getting this agreement from the ugandans as legally Tanzania was in the wrong as she had allowed the guerillas to invade Uganda kutoka kwenye ardhi yake against the provisions of OAU charter.

According to David Martin's book Idi Amin - the 1972 invasion of Uganda had been superintended by the National Service and JWTZ were not involved but when it failed it was the JWTZ who were in the trenches defending the country. National Service then was being led by lawrence Gama - ambaye aliyekuwa amemuoa dadake yake mwalimu.

The whole invasion created some dis-quiet in the JWTZ especially among the educated officer corp most of whom had been trained in Canada & Britain. In fact the JWTZ had two types of officers those who had come through the NCO route - like Musuguri; Kyaro; Twalipo; Chacha etc and those who had come through the cadet route like Marealle; Kombe, Mayunga; Kiwelu; Mwakandalile; Wolden etc. These two groups of officers were not often talking the same language as they had very different educational backgrounds. Further given the Ujamaa policies being pursued then the educated officers labda uaminfu wao kwa siasa hiyo ulitiliwa mashaka. It was perhap

The events of transfers from the JWTZ coincided also with the worst drought in the 1973/74 season which TZ had ever faced - and there were severe food shortages all over the country including in Dar. NMC had to import large amounts of maize to stave off famine and starvation. During the same period the Ethiopia government of Emperor Haile Selassie had been overthrown in early 1974 by the young officers because of famine which had killed thousands of people while he was pictured feeding his lions in the zoo next to the Imperial Palace in Addis. The overthrowing of Selassie sent shivers among many African political leaders - I believe including Mwalimu.

One of the major outcomes of the 1964 army mutiny was the reliazation by Mwalimu that mutiny was caused by intelligence failure and he therfore set out to establish an efficient intelligence service under the legendary first DG - Mzena. It is this service which was able to arrest the 1971 coiup plotters of Titi/the Chipaka brothers etc.

Whether there was real coup plot in 1973/74 it is difficult to say but ni tuseme tu kuwa hali halisi ilikuwa ya wasiwasi na Mwalimu hakuweza ku take the risk and let things take their own course and he had to act first by transferring out of JWTZ any suspected officers including the commander then Gen Sarakikya. That is part of Mwalinmu being a statesman.

Jambo la muhimu hapa ni kuelewa kuwa vyombo muhimu vya taifa ambavyo Mwalimu alivijenga ni JWTZ na TISS - Tanzania Intelligence and Security Services. In fact I would rate TISS as being even more important than JWTZ - as during the cold war period weak intelligence systems ili-lead to serikali nyingi kupinduliwa and chaos followed e.g the overthrow of Obote by Idi Amin and Tito Okello in 1971 & 1985 was largely due to intelligence failure. The important thing for TISS however sio kuhesabu vizibo vya bia but the analytical capacity to intelligently analyze information and issues.
 
Kudi Shauri,
Umetoa maelezo na analysis nzuri sana. Kuhusu TISS nasikia kuanzia enzi za Mwinyi imekuwa "corrupted" na sasa hivi wamejaa marafiki na watoto wa mafisadi tu. Lakini Mwinyi alishindwa ku-corrupt jeshi kama alivyofanya na TISS, ingawa alijaribu--mpaka ikafikia kushirikiana kibiashara na marehemu Kombe. Kuna mengi ambayo hayajawekwa hadharani na mchango wako ni muruwa kabisa.
 
Kudi Shauri,
Mkuu umesema ukweli usiopingika yaani hizi ni habari za ndani ambazo hazikutungwa....Binafsi ktk hali tuliyokuwa nayo mbali na kuwepo tuhuma za kupindua nchi naweza kusema kwamba Sarakikya alipelekwa mahala ambapo angeweza kufanya kazi kiufasaha na kutumia elimu yake badala ya mitulinga...
Hata hivyo nimekutana na kipande hiki nadhani kizuri sana kutufungua zaidi kuhusiana Ulinzi na Majeshi yetu....

http://www.issafrica.org/index.php?link_id=21&slink_id=4403&link_type=12&slink_type=12&tmpl_id=3

Au tazama hapa
 
Kudi Shauri,

..asante sana kwa maelezo yako ya kina.

..je unaweza kutuletea title ya kitabu unachoongelea cha David Martin?

..unafahamu ni mwaka gani LAWRENCE GAMA alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa?
 
After reading Kudi Shauri and realize that Captain Nkya (I presume ni Ibrahim Nkya) was one of the people who were "re-assigned" it makes me wonder if trully there was conspiracy or it was Mwalimu moving a bishop ahead ot time to send a message to any thoughts of overthrowing the government.

It is very possible there was something small and never serious but he had to confrot Sarakikya and gave him Uwaziri.

As far I know, Captain Ibrahim Nkya, became one of Mwalimu's aides(bodyguard, ADC or whatever) and travelled with Mwalimu even after Mwalimu's retirement.

Captain Mushi used to have a house around Ilboru area and worked for some company in Arusha and Major Ndosi, became a business man, a hunter and was married to Mary Kejo-Ndosi the attorney behind IPTL.
 
Kitabu cha David Martin kilikuwa na title Idi Amin na ali-publish I believe 1973. I think it was published jointly by East Africa Publishing House and a British publisher I forget which one. Unaweza pia kupata more information kutoka kwenye kitabu kilichotungwa na Tony Avirgan & Martha Honey entitled The War In Uganda 1978/79 - I think kilikuwa published na Tanzania Publishing House & another foreign publisher in 1979- it gave a very detailed and in my view a balanced analysis of the war to get rid of Idi Amin in 1979.

Tony Avirgan & Martha Honey were BBC correspondents in Dar during this period. The late David Martin used to work for Daily News in the late 1960s early 1970s and thereafter he became a reporter for the Observer of UK. He moved and settled in Zimbabwe in 1980 where he died in 2007 - until his death he was a very strong supporter of the principles of Mwalimu and ironically Robert Mugabe!

Lawrence Gama ali take over as DG of TISS if I irecall correctly I think in 1973. He did not last long as by 1976 he had been moved back to politics and Col Kitine took over all the way to Ugandan War.

The year 1971 was a major milestone in the defence and security policy of Tanzania - it was the year of Mwongozo following two major events in Africa - The Amin Coup in Uganda of January 1971 and the invasion in 1970 of Guinea Conakry of Sekou Toure by Portuguese mercenaries based in Guinea Bissau. The mercenaries were routed by Guinean Peoples Militia and Nyerere in a public address in Jangwani pledged msaada wa $10million to Guinea which was a lot of money then.

These events led to TANU kutoa policy ya Mwongozo of 1971 which included also formation of the Peoples Militia - au Mgambo. The Mgambos were the bullwark of TZ defence in the southern regions in support of FRELIMO but following Mwongozo this system was extended to whole country. Perhaps these events contributed to the changes in JWTZ in 1973 which led to the transfer of Gen Sarakikya.
 
Hongereni nyote mliochangia mada hii kwa kutupa taarifa zenye kuelimisha sana. Suala la uhaini katika historia ya Tz naweza kuliweka makundi makuu matatu: Wale waliowahi kutuhumiwa rasmi hata kufikishwa mahakamani na kuhukumiwa, wale waliotajwa na kuishia kupewa adhabu (zisizo za mahakama), na wale ambao madai dhidi yao hayakuthibitishwa hivyo ikabaki kama majungu tu ya "redio mbao".
Katika kundi la kwanza wako kina Michael Mowbrey Kamaliza, John Danstan Lifa Chipaka, Bibi Titi Mohamed et al (early 1970's); Pius Lugangila (uncle Tom), Eugene Maganga, Hatibu Ghandhi (Hatty McGee) et al (early 1980's). Hawa walikamatwa, kushitakiwa na kuhukumiwa.
Kundi la pili ni wale walioishia kunyanyasika kwa kutumia ile Preventive Detention Act, walisota sana hawa katika "jela" za visiwani (Mafia na kwingineko) na za kuzuiliwa nyumbani kwao wakihesabika ni watu hatari kwa usalama. Kundi hili walikuwa kina Christopher Kasanga Tumbo, Joseph Kasela Bantu, James Mapalala et al.
Hili kundi la mwisho la majungu ndio wametajwa huko kina Sarakikya na wengine wengi, ambao walikuwa wanaishia tu kunyanganywa madaraka, kuhamishwa vituo vya kazi nk.
 
Kithuku,
Kassanga Tumbo was his own worst enemy. Alivyorudi kutoka ubalozi London alikaririwa kwenye magazeti akisema kuwa amepewa hela na Waingereza ampindue Nyerere. It was just a matter of time before he would be arrested.
 
kudi shauri,

..i have read "War In Uganda 78-79" written by two British reporters. the book doesnt say much about Sarakikya.

..i felt the book said a lot about Maj.Gen.Ben Msuya, at that time Lt.Col. that can only be justified by the fact that the two Brits' were embeded in Msuya's battalion.

..i must add though: for any one who wants to understand Ugandan politics and the civil war that started after Obote's election "War in Uganda 78/79" is the book to read.

..did Rashidi Kawawa have any role in military and security developments of the 70s? some have speculated that he had a hand in the removal of Sarakikya and the officers you mentioned before. it is suggested that Kawawa never trusted wasomi any where.

..the promotions of Twalipo and Gama, and the fact that they are southern boys as Kawawa, is used as the evidence that he[kawawa] was the man who engineered the transfers that took place in the army.

Rev.K,

..you are right on the money with Capt.Mushi and Maj.Moses Ndosi[r.i.p].

..Mushi was appointed GM of Fibre Board industries that was based in Arusha. Ndosi was an expert in logistics and tanks so he was assigned to kamata as a GM. later on Ndosi and Col.Kashmir started a private company afri carriers.

..Col.Kashmir alikuja ku-play important role ya ku-supply silaha na vifaa wakati wa vita vya Kagera na hata Msumbiji wakati wa Renamo. nadhani kulikuwa na matatizo ktk kupata silaha toka Uingereza wakati wa vita vya Kagera.
 
Kudi Shauri,
Mkuu umesema ukweli usiopingika yaani hizi ni habari za ndani ambazo hazikutungwa....Binafsi ktk hali tuliyokuwa nayo mbali na kuwepo tuhuma za kupindua nchi naweza kusema kwamba Sarakikya alipelekwa mahala ambapo angeweza kufanya kazi kiufasaha na kutumia elimu yake badala ya mitulinga...
Hata hivyo nimekutana na kipande hiki nadhani kizuri sana kutufungua zaidi kuhusiana Ulinzi na Majeshi yetu....

http://www.issafrica.org/index.php?link_id=21&slink_id=4403&link_type=12&slink_type=12&tmpl_id=3

Au tazama hapa


Mkuu, asante sana kwa hiyo piece ya "issafrica.org"--imenipatia mwanga mkubwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom