Gazeti la the East African na Agenda ya Kuichafua Tanzania

Mpanzi

JF-Expert Member
Jan 11, 2011
785
440
Nimesoma gazeti la the East Africa la wiki hii nikakutana na kichwa cha habari "Security Blow as Treasury Slashes Budget for Crime War" Habari hii imelenga kuonyesha kuwa Tanzania sio salama, kama mjuavyo nchi za magharibi zimeonya raia wake kutembelea Kenya kwa sababu za kiusalama, naona Wakenya wanataka kuifanya Dunia kumani kuwa Tanzania hakuna usalama kwa kuzungumzia mabomu ya Arusha na hatari ya Ugaidi, wameenda mbali na kutumia picha ya Kulipuliwa ubalozi wa Marekani kuhalalisha ajenda yao.
 
Ni kweli east african wana ajenda ya kuichafua Tanzania muda mrefu sana.
 
Nasisi tuandike udhaifu wa vyombo vya usalama kwao hadi wanatwwngwa na wasomali kila uchao
 
ahhhh kwani salama sana ehhh? sasa mageti ya nini kule masaki na oyster bay. ahhh ya ulimboka, mbwa mwitu, panya road, vibaka wa mitaani, wakina zombe? mateja vituo vya mabasi wezi tuu wale, mabomu makanisaai? mabomu arusha kwenye mikutano ya cdm. why hakuna mikutani ya kisiasa kule mtwara na lindi? why ukawa wanapigwa stop na mikutano yao baadhi ya mikoa? ulinzi mkali bungeni,ACID ZANZIBAR, kufa kwa mapadri kule zanibar TANZANIA PIA. HATUKO SALAMA KIVILE ASEEE
 
Nimesoma gazeti la the East Africa la wiki hii nikakutana na kichwa cha habari "Security Blow as Treasury Slashes Budget for Crime War" Habari hii imelenga kuonyesha kuwa Tanzania sio salama, kama mjuavyo nchi za magharibi zimeonya raia wake kutembelea Kenya kwa sababu za kiusalama, naona Wakenya wanataka kuifanya Dunia kumani kuwa Tanzania hakuna usalama kwa kuzungumzia mabomu ya Arusha na hatari ya Ugaidi, wameenda mbali na kutumia picha ya Kulipuliwa ubalozi wa Marekani kuhalalisha ajenda yao.
swala la milipuko na tindikali ni miradi ya selikali na chama tawala.
 
na sisi tumezidi ulalamishi kwani hatuna vyombo vya kujitangaza?

us na uk huwa wanataadharisha raia wao wasiende nchi ambazo ziko kwenye target ya kushambuliwa na Tanzania hatumo kwenye list hiyo.

kama watu wameshindwa kazi watupishe kwenye hizo ofisi tuwaoneshe kazi.
 
Maskini wakenya wawatu wanahangaika kuzima tv kipofu asiangalie najua wanahofia mambo ya utalii wasiogope huku kwetu watu wanawaza dili tu kipakia twiga meno yatembo kwenye meli za makada nk.utalii wanini hata ndege hatuna!msiogope Tanzania ni koloni lenu.
 
So sad if what said is true.

Tanzania hatuna viongozi bali tuna walafi wa pesa...inabidi kashfa hizo na nyingine nyingi tuzipake harufu ya pesa ili walafi hawa watamani kuwa wakali.
 
Mikenya nayo kam miCCM! Michafuuu... hilo gazeti huwa lina articles nyingi chafu juu ya Tz.
 
Ndugu yangu hapa serikali inapaswa kuchukua hatua za haraka kwani taarifa ile ni hatari sana.Iweje gazeti la the East Africa lizungumzie budget ya ulinzi ya Tanzania.Na je mwandishi alipata wapi kibali cha kuandika hayo?.Hii ni mbinu8 dhahiri ya Kenya kuchafu biashara ya utalii ya Tanzania.Wengi wetu tunajua kila mara mbinu wanazofanya wa kenya kudoofisha utalii wa Tanzania.Ni wakati umefika serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuchukua hatua.
 
Mkuu Mpanzi lets try to be objective..Katika gazeti hilo wameandika kitu gani ambacho sio kweli kuhusu bajeti ya Wizara ya Mambo ya ndani? It is the truth...May be argument yako ingekuwa picha iliyotumika ambayo pia ni kweli ni terrorist attack iliyotokea tanzania.

Kwani sio kweli mabomu yalilipuliwa Arusha na hakuna majibu yoyote ya kipelelezi yaliyotolewa........Nyie mnataka muandikweje labda?

Unafiki sio mzuri.
 
Last edited by a moderator:
kwani waziri muhusika hawezi kulifungia hili gazeti kwa habari zake za uchochezi?
 
Mkuu Mpanzi lets try to be objective..Katika gazeti hilo wameandika kitu gani ambacho sio kweli kuhusu bajeti ya Wizara ya Mambo ya ndani? It is the truth...May be argument yako ingekuwa picha iliyotumika ambayo pia ni kweli ni terrorist attack iliyotokea tanzania.

Kwani sio kweli mabomu yalilipuliwa Arusha na hakuna majibu yoyote ya kipelelezi yaliyotolewa........Nyie mnataka muandikweje labda?

Unafiki sio mzuri.

Jinsi hiyo habari ilivyoandikwa pamoja na timing inaacha maswali mengi kuliko majibu, kama vile kunatatizo kubwa sana la usalama na linashindwa kutatuliwa kwa sababu ya budget, mkuu upelelezi wa Mabomu ya Arusha haujakwamishwa na budget.
 
Last edited by a moderator:
nimanya uchunguzi nimegundua hili gazeti linaandikwa na watanzia/wakenya/waganda/ waburundi/wanyarwanda kwa wakati mmoja. ni gazeti lisilo bezi upande wowote ni gazeti pekee linalofikia nchi zote za africa mashariki
 
Sisi watanzania wenyewe kwa wenyewe hatupendani, tunafanya mambo bila ya kufikiria, tunafanya sherehe halafu tunaonesha silaha ya kijeshi maana yake ni kitu gani. Lazima wageni watafikiria kwamba hali sio shuari ndio maana silaha za kijeshi zikaoneshwa.
 
Ukweli ni kuwa Kenya si rafiki wa kweli wa Tanzania na kwa hali ilivyo huko kwao kwa sasa, wanaona Tanzania kama adui yao mkubwa kwenye mambo mengi. Kukua kwa Tanzania Kiuchumi ni hatari sana kwao na usishangae wakaanza kupandikiza mabomu Arusha na maeneo mengine ya utalii ili kuivurugia nchi yetu. Yabidi kuwa macho sana na hawa watu.
 
Back
Top Bottom