everybody
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 337
- 103
Habari ya Pasaka wana JF?
Kwa muda mrefu sasa hili gazeti la Tanzania daima halipo online na ukifungua website yake inasema under mantainance. Ningependa kujua nikweli kuna matatizo kwenye huo mtandao wao au ndo katika zile harakati za kuyaondoa magazeti yanafichua mambo?
Kwa muda mrefu sasa hili gazeti la Tanzania daima halipo online na ukifungua website yake inasema under mantainance. Ningependa kujua nikweli kuna matatizo kwenye huo mtandao wao au ndo katika zile harakati za kuyaondoa magazeti yanafichua mambo?