Kuna watu wamezaliwa wana chuki ya asili,wanakuwa na tabia ya husuda,wivu na gubu mioyoni mwao,huwa hawapendi kuona watu wakiishi kwa kupendana na kushikamana.hii haikubaliki.mwanahalisi halikubaliki kwa watu wenye akili timamu,e
mkuu naona nzi wanakufuata mdomoni kapige mswaki na huko nyuma pia kuna harufu mbaya inatoka,kajichambe
unajua mara nyingine jaribu kufiri kabla hujaa andika.
Yeye anasema maovu ambayo ulikuwa huyafahamu sasa hapo pia yeye sio mzuri?
Kuanzia leo Julai 30, 2012; Gazeti la MwanaHalisi limefungiwa na serikali kwakuwa linadaiwa kuandika habari za uchochezi.
CHANZO: TBC1
Wajameni serikali hii inataka kutufunga mdomo tuendelee kuwa gizani tusijue madudu yao.
Pole sana KUBENEA tupo na wewe habari zako za kiuchunguzi zinatusaidia sana na ndizo zinazotufungua macho tujue nchi yetu inavyoliwa.
mbona radio imani inayohubiri chuki za kidini kila siku haifungiwi?? kuna double standards kwenye media???
Safi sana gazeti la udaku na majungu na kufitinisha watu hata hivyo serikali imechelewa mno kulifungia.