Gay Kenyans Launch Online Forum!

Haya wanaotaka haki munawajua mashoga wa nairobi kenya uganda, south africa ,malawi na wanaungwa mkono na wazungu halafu tucngizieni watu wa znz , tanga ,na mombasa pamoja na waarabu kuwa tunapenda mambo haya
 
very good for them. they need to have forums on only online but in real world where they can share stories, support each other, and find relationships. to each his own

let them be who they wanna be and let God be the judge. i don't like it when people try to act like God and judge other people.

.......... ukiliona jambo baya lizuie kwa mikono yako, ukishindwa likemee kwa mdomo wako, na hilo likikushinda basi linunie, ingawa hiyo ni imani dhaifu (Quran)
 
alikupigia simu ulipata sms yake au fax ???

Ataingia na ndege ipi ????au ana private jet kama aliyo nayo pastor benny hinns

haji kwa ndege wala kupiga simu, ila aliacha namba yake ya simu/ au mkataba....Mathayo 11:28-31- Njooni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.....
 
haji kwa ndege wala kupiga simu, ila aliacha namba yake ya simu/ au mkataba....Mathayo 11:28-31- Njooni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.....
aya hiyo ameitoa matayo yupi angalia matayo9:9
 
Back
Top Bottom