Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,818
- 156,952
Futari hizoUongo gan huu, yaan mtu amteue yeye afu amzidi mshahara?
hizi futuhi muwage mnaangalia Pa kuweka lol
Futari hizoUongo gan huu, yaan mtu amteue yeye afu amzidi mshahara?
hizi futuhi muwage mnaangalia Pa kuweka lol
Hela yenye saini ya Gavana.Usimfananishe Katibu Mkuu Hazina/Fedha anayetambulika kama Pay Master General na vitu vya kijinga!
Bila saini yake huyo hakuna hela inatoka nchi hii
Umebwabwaja tuUshamba mbaya sana
Umeshaambiwa hivyo ni Presidential appointee
Kama unataka ukubwa wa cheo na heshima ungane na Mo Dewji au Bakhresa kufanya biashara
Tangu lini umesikia mtumishi wa uma ameweza kuajiri watu zaidi ya 3,000 na anamiliki viwanda
Hata wewe unaweza kuwa Governor hapo BOT, Kumbuka Taasisi ina wataalamu wake na wafanyakazi wake wa miaka mingi
Governor haendi pale BOT kufundisha watu kazi, Wafanyakazi wa BOT kama taasisi ya muda mrefu walishajijenga wanajua mbivu na mbichi za uhalisia wa mambo
Mwambieni Tutuba asije aka lazimisha watu wa Print pesa kama yule Jamaa yake aliyetwaliwa
Mwambieni Tutuba Uchumi ni Principals na hauna siri, Ukigusa Variable moja unaweza yumbisha kila kitu
Kazi za Adiministration kila mtu anafanya, Unaweza mtoa mtu BoT akasimamie hospital ya Mlongazila na akaperform tu
Ukiwa na kiburi ndio unaweza kushindwa kuperform, Tutuba amezungukwa na wataalamu hapo BOT hana kazi ngumu labda awe kiburi
Ukitaka heshima wewe fanya biashara au uwe Unique sana kama Albert Einstein na Newton utakumbukwa kinguvu tu bila wewe kuwepo
Hakuna atakayekukumbuka kuwa ulikuwa Governor au Rais wa nchi bila kuleta unique ideas na innovations
Tunawakumbuka akina Newton's au Einstein kwa ideas zao
Tunawakumbuka Bill Gates na Mark kwa ideas zao unique
Ukitaka kujua ukubwa wewe fanya mambo unique na yenye heshima utapata ukubwa tu
Gavana anaripoti kwa katibu mkuu wa fedha!Gavana wa Benki kuu anaongea na Rais direct bila kupitia Wizara ya Fedha
Katibu mkuu yuko kikarani zaidi
Kwa kweli aiseeKuna maswali mengine yanachekesha Sana ingawa Yana logic...
Hivi mfano katibu mkuu kiongozi na waziri kama waziri wa michezo Nani mkubwa?
Au mkuu wa mkoa Dar na waziri kama waziri wa wanawake na watoto Nani ana "status"anaweza influence mambo?...
Kuna vyeo vikubwa Kwa nje lakini Kwa ndani hamna kitu..
Unaweza kukuta Makamu wa Rais Hana nguvu Kwa Rais kama waziri ofisi ya Rais ....au katibu wa Ikulu...
Maswali mengine hayanaga jibu moja
katibu mkuu ni mkubwa ila kimafao gavana anapata kuliko katibu mkuuPermanent Secretary wa Wizara na Gavana wa Benki Kuu, cheo kipi ni kikubwa?
sasa je Rais akipanga mshahara wake uwe mkubwa zaidi ya Gavana, nn kitakua?Mshahara wa gavana uko regulated na IMF na World Bank, Fuatilia Gavana anamshahara mkubwa kumzidi Rais, Rais yeye anamzidi Gavana Kwa malupu lupu na wizi wizi
haswaaaah.Futari hizo
Ni kanuni za na miongozo akitaka kuamua ni kurudi awamu ya malipo ya Kikwete, it was around 30-40 milioni kwa Rais na posho karibia 100+ , Rais on average hakosi 300 kwa mwezi ukiacha wizi wizi aina zote keep bajeti, online allocation hewa na etcsasa je Rais akipanga mshahara wake uwe mkubwa zaidi ya Gavana, nn kitakua?
Kuwa regulated na IMF au WB sio kigezo kikuu, couz Rais anaweza panga yeye apokee mkubwa na hakuna kitu atafanywa.
Uliuekewa Uzi kweli?Ushamba mbaya sana
Umeshaambiwa hivyo ni Presidential appointee
Kama unataka ukubwa wa cheo na heshima ungane na Mo Dewji au Bakhresa kufanya biashara
Tangu lini umesikia mtumishi wa uma ameweza kuajiri watu zaidi ya 3,000 na anamiliki viwanda
Hata wewe unaweza kuwa Governor hapo BOT, Kumbuka Taasisi ina wataalamu wake na wafanyakazi wake wa miaka mingi
Governor haendi pale BOT kufundisha watu kazi, Wafanyakazi wa BOT kama taasisi ya muda mrefu walishajijenga wanajua mbivu na mbichi za uhalisia wa mambo
Mwambieni Tutuba asije aka lazimisha watu wa Print pesa kama yule Jamaa yake aliyetwaliwa
Mwambieni Tutuba Uchumi ni Principals na hauna siri, Ukigusa Variable moja unaweza yumbisha kila kitu
Kazi za Adiministration kila mtu anafanya, Unaweza mtoa mtu BoT akasimamie hospital ya Mlongazila na akaperform tu
Ukiwa na kiburi ndio unaweza kushindwa kuperform, Tutuba amezungukwa na wataalamu hapo BOT hana kazi ngumu labda awe kiburi
Ukitaka heshima wewe fanya biashara au uwe Unique sana kama Albert Einstein na Newton utakumbukwa kinguvu tu bila wewe kuwepo
Hakuna atakayekukumbuka kuwa ulikuwa Governor au Rais wa nchi bila kuleta unique ideas na innovations
Tunawakumbuka akina Newton's au Einstein kwa ideas zao
Tunawakumbuka Bill Gates na Mark kwa ideas zao unique
Ukitaka kujua ukubwa wewe fanya mambo unique na yenye heshima utapata ukubwa tu
Gavoo anaongeea na President Kila siku wewe Katibu Mkuu Hadi uitwe, Gavoo ndiye Yuko kwenye chungu Cha pesa, na ndiye mshauri Mkuu wa serikali kuhusu Masuala ya uchumi, mikopo, riba nahata baadhi ya sera za kifedha na Kodi kadha wa kadha nkPermanent Secretary wa Wizara na Gavana wa Benki Kuu, cheo kipi ni kikubwa?
Tupe evidence.Mashahara wa Rais pia ni regulated labda kwenye posho huko.Ni kanuni za na miongozo akitaka kuamua ni kurudi awamu ya malipo ya Kikwete, it was around 30-40 milioni kwa Rais na posho karibia 100+ , Rais on average hakosi 300 kwa mwezi ukiacha wizi wizi aina zote keep bajeti, online allocation hewa na etc
Katibu pia naye ni mtendaji wa BOT katibu ndie anasimamia mambo yote yanayo husu fedha gavana awezi kuamua bila kumshirikisha katibuGavana wa bank ni mkuu wa kibubu chote mkuu.
Katibu ni mtendaji kqenye masuala ya uongozi lakini Gavana ni mkuu wa jiko usimchukulie poa