The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 7,382
- 8,445
Permanent Secretary wa Wizara na Gavana wa Benki Kuu, cheo kipi ni kikubwa?
Ushamba mbaya sanaDah aibu naona mimi,Gavana usimchukulie poa
Ila Bank Kuu Ina operate chini ya Wizara ya FedhaDah aibu naona mimi,Gavana usimchukulie poa
Kwa hiyo hiyo Ni demosion yenye heshima kwa Tutuba au?Kwenye utumishi katibu mkuu siku zote ni mkubwa, japo kiutendaji mkuu wa taasisi anaweza kuwa na majukumu nyeti na muhimu zaidi.
1. Mfano Katibu Mkuu wizara ya fedha (ambaye pia ni paymaster general) vs. Governor wa BoT
2. Katibu mkuu wizara ya ulinzi na JKT vs. CDF
3. Katibu mkuu wizara ya mambo ya ndani vs. IGP
N.K
Katibu mkuu ni mkubwa kwa mkuu wa taasisi yoyote. Na kuna mambo lazima yeye aidhinishe 😃. Heshima lazima iwepo.
BTW, zote ni nafasi za kumsaidia Mheshimiwa Rais, kwahiyo yeye ndiye anapanga nani anafaa wapi.
Governor BOT ni nafasi kubwa saana..huwezi linganisha na ukatibu wa wizara,Kwa hiyo hiyo Ni demosion yenye heshima kwa Tutuba au?
Kwenye makaratasi ndio, lakini kiutendaji bado ni nafasi kubwa tena ina ka 'security' zaidi kuliko kule alikokuwa. Anaweza hata kufanya kashere nyumbani.Kwa hiyo hiyo Ni demosion yenye heshima kwa Tutuba au?
🤣🤣🤣🤣Governor BOT ni nafasi kubwa saana..huwezi linganisha na ukatibu wa wizara,
Tusiwajengee watoto wetu wanaosoma mitandao hizi fikra. Kwamba mtu akiteuliwa tunahoji kama kapanda au kashuka! Nafasi yoyote ya kuteuliwa na mkuu wa nchi ina heshima kubwa mno. Hata akikwambia soma magazeti kila siku halafu uniambie wanasemaje huko mtaani. Utumishi wa umma ni wito kutumikia raia siyo ufahari wa nafsi.#Samahani lakini.🙏🙏🙏Permanent Secretary wa Wizara na Gavana wa Benki Kuu ,cheo kipi Ni Kikubwa?
Ushapewa mfano mzuri...hivi unadhani kicheo CDF vs Katibu mkuu wizara ya ulinzi nani yupo juu
Ndugu, katibu mkuu wa wizara ya fedha ndiyo paymaster general wa nchi, mlipaji mkuu, mshika ufunguo wa kibubu cha taifa.
Unadhani JPM alimweka mpwa pale kwa bahati mbaya?
Nchi zingine Governor akiumwa share za Serikali zinatikisika thamani yake kwny soko la hisaDah aibu naona mimi,Gavana usimchukulie poa
ni dhambi kubwa sana kuchochea mambo baya la kufarakanisha watuTutuba sio sukuma gang?Mbona jina kama la wasukuma?
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Alfu wee ndio unasema ulisoma udsm Kweli au udsm duce?Permanent Secretary wa Wizara na Gavana wa Benki Kuu ,cheo kipi Ni Kikubwa?