Kuna habari kuwa gas zaidi imegunduliwa Tanzania, hii inakuwaje East Afica angalia hapa
http://www.telegraph.co.uk/finance/...r-share-tip-Ophir-make-another-discovery.html
Vitengo vya UFISADI vinazidi kuongezeka. Ni muhimu sana kuiweka nchi hii kwenye mikono salama ili tuweze kuinua uchumi wetu na wananchi wote tunufaike.
Kuna habari kuwa gas zaidi imegunduliwa Tanzania, hii inakuwaje East Afica angalia hapaQuestor share tip: Ophir make another discovery - Telegraph
Mungu bariki iwe Bara ili tuone hawa jamaa wa visiwani na mipango yao ya kukataa mafuta isiwe jambo la muunganoTanzania ipi ? Bara au visiwani?.......tujiandae
Waziri anayehusika na hizi issue ndiyo Ngereja na msaidizi wake Malima???
amina.amina!
Mkuu nadhani una habari kwamba hata pesa ya kununulia diesel nayo kwishney!Nchi imelaaniwa hii inahitaji maombezi gas yote hii lakini bado tunaweka magenerator ya diesel ili tukanunue tupate mwanya wa kula kama siyo uchizi ni nini????