lunatoc
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,911
- 5,446
Hii na Ile nyingine zote mbili nipe recommend oilNa kuna hii 2.View attachment 2435557
Hii na Ile nyingine zote mbili nipe recommend oilNa kuna hii 2.View attachment 2435557
Mkuu hiyo ni auto correct ya simu yangu nilikuwa hata sijui kama imeandika hivyoView attachment 2438074
Erro we ni masai?? Kuasimisha kuasimisha
Acha mambo yako bwana sema Kuazimisha
Dualis Nyingi ni za Gearbox za CVTHabari wana JF,
Kwa mara ya kwanza kwenye maisha yangu nimenunua na kumiliki gari yangu ya kwanza nissan dualis, kusema ukweli sijui vitu vingu kuhusu magari nafahamu vitu vichache sana.
Naombeni msaada jinsi ya kuitunza hii gari angalau idumu napokea maoni na ushauri jamani, gari nimeipokea juzi tu
Umenikumbusha kitu hapo kwenye oil kuwa inatumia CVT sio hizi za kwetu HydraulicJambo la kwanza kwenye oil ya gear box. Fanya ubahiri wote ila sio hilo eneo. Usije ukaweka brand ya oil nje ya ile ya Nissan au ipo moja ya mobil ila sidhani kama inapatikana sana hapa Bongo. Ukiweka nje ya hiyo utakuja hapa kulia lia kuwa gari hizi ni mbovu kumbe ni wewe unashida.
Oil ya engine pia tumia yenyewe ya Nissan zinajulikana maana zipo za gear box na za engine. Asije akatokea fundi akakuchanganyia hiyo taarifa na kusema oil ni oil unaweza mix HAPANA. Kataaa. Tumia hizo oil za Nissan tuuu.
Gear box ya hiyo gari ni CVT so haitumii gear box oil (hydraulic) nyingine nje ya recommended ambayo ni zake na brand ya mobil. Utakutana na CVT oil (hydraulic) za brand zingine na mafundi wanaweza kushawishi kutia tu kwa sababu yoyote kataaaaaaaaa weka only ya Nissan.
Kingine, zingatia kutunza movements zako. Ni bora upite njia ndefu ya lami ukaingia gharama isiyozidi elfu 5 au 10 ya mafuta kuliko kufosi kupita njia fupi yenye mashimo makubwa na rough ambayo itaweza kukuchakazia gari yako na kuja kununua spare isivyo lazima. Ukiheshimu unapoipitisha ina uimara wa kutokukusumbua spare hata kwa miaka 2 bila shida yoyote.
Mengine nitakushauri kulingana na wachangiaji wanavyochangia. Karibu kwenye familia ya Nissan Dualis. For anything unaweza uliza tu bila shaka.
Kuna Dualis imetengenezwa na gear box isiyo ya CVT?Dualis Nyingi ni za Gearbox za CVT
Hizi gear box ni nzuri sana kama utafatisha mashart yake
Ni mbaya sana kama utachukulia poa
Weka oil sahihi hua inaandikwa katika dipstik
Ukichanganya madesa tu unaua gear box fasta
Gari zote hizi zenye shock absorber hazijatengenezewa mazingira ya off-road kuna zile kama Land cruiser mkonga, land Rover 109,etc ndizo maeneo yake.Umenikumbusha kitu hapo kwenye oil kuwa inatumia CVT sio hizi za kwetu Hydraulic
Ila kupita rafu rod usimuogopeshe gari hiyo inapita vizuri bila shida yoyote ili mradi tu isiwe mashimo makubwa; aende tu mdogo mdogo; Unataka asipeleke gari Kijijini desemba hii wakati IST inaenda?
Hebu niwekee picha ya unazotaka kujua hapa ili twende sambamba.Hii na Ile nyingine zote mbili nipe recommend oil
Watakuwa wanaweka vilainishi vya traditional automatic transmission badala ya vilainishi vya continuous variable transmission (CVT). Ukifanya hilo kosa, dk 0 tu unaua gearbox.Kuna jamaa zangu kama wawili wana hii gari, mmoja anasema kainunua 2020 lakini hadi June 2022 keshabadili gear box mara tatu mwingine nae keshabadili mara moja wanasema shida kubwa ya hizi gari ni kwenye gear box je wenye uzoefu hii ni kweli maana baada ya maelezo Yao nimejikuta naogopa kutekeleza ndoto yangu ya kumiliki hii gari
Asante mkuu, kwa hiyo unanishauri nisiogope kuichukua Iko poa?Watakuwa wanaweka vilainishi vya traditional automatic transmission badala ya vilainishi vya continuous variable transmission (CVT). Ukifanya hilo kosa, dk 0 tu unaua gearbox.
Turudi kwenye Uhalisia; ni watanzania wangapi wenye hizo Mkonga, Landrover nk?Gari zote hizi zenye shock absorber hazijatengenezewa mazingira ya off-road kuna zile kama Land cruiser mkonga, land Rover 109,etc ndizo maeneo yake.
Hizi hazitaki sana fujo ndio hautaona unahangaika na mafundi.
Muuzie aliyekuwa ushauri wa kuokoa maisha yakoKuwa makini zinapenda kuanguka.
Hizo ni story za uongo. Amenunua gari kutoka kwa mtumiaji wa Tanzania au aliagiza used ya Japan?!Kuna jamaa zangu kama wawili wana hii gari, mmoja anasema kainunua 2020 lakini hadi June 2022 keshabadili gear box mara tatu mwingine nae keshabadili mara moja wanasema shida kubwa ya hizi gari ni kwenye gear box je wenye uzoefu hii ni kweli maana baada ya maelezo Yao nimejikuta naogopa kutekeleza ndoto yangu ya kumiliki hii gari
Sasa kwann uogope?!A
Asante mkuu, kwa hiyo unanishauri nisiogope kuichukua Iko poa?
Haibadilishi ukweli kuwa hiyo gari imetengenezwa kwaajiri ya mazingira ya mjini. Huko kwenye makorogo na barabara za vumbi ni kulazimisha.Turudi kwenye Uhalisia; ni watanzania wangapi wenye hizo Mkonga, Landrover nk?
Mbona magari ya kawaida yamejaa vijijini na yapiga mzigo bila shida
Wanaoharibu haya magari ni mafundi wababaishaji na wajuajiKuna jamaa zangu kama wawili wana hii gari, mmoja anasema kainunua 2020 lakini hadi June 2022 keshabadili gear box mara tatu mwingine nae keshabadili mara moja wanasema shida kubwa ya hizi gari ni kwenye gear box je wenye uzoefu hii ni kweli maana baada ya maelezo Yao nimejikuta naogopa kutekeleza ndoto yangu ya kumiliki hii gari
Hakikisha unafaya exitingishaHabari wana JF,
Kwa mara ya kwanza kwenye maisha yangu nimenunua na kumiliki gari yangu ya kwanza nissan dualis, kusema ukweli sijui vitu vingu kuhusu magari nafahamu vitu vichache sana.
Naombeni msaada jinsi ya kuitunza hii gari angalau idumu napokea maoni na ushauri jamani, gari nimeipokea juzi tu
usimtishe mwenzio banaHakikisha unafaya exitingisha