Tripitaka
Senior Member
- Nov 30, 2019
- 167
- 303
Habarini wakuu!
Niende moja kwa moja kwenye mada, ipo hivi;
Gari yangu nikiwasha AC inakuwa nzito kidogo tofauti na ilipokua sijawasha, yaan kama vile kuna mzigo nimebeba.
Nimeshindwa kujua sababu mimi sio mzoefu wa magari ni gari yangu ya kwanza. Swali ni je , gari yangu tu au huwa na gari zingine inakuwa hivyo. Asanteni na karibu pia.
Niende moja kwa moja kwenye mada, ipo hivi;
Gari yangu nikiwasha AC inakuwa nzito kidogo tofauti na ilipokua sijawasha, yaan kama vile kuna mzigo nimebeba.
Nimeshindwa kujua sababu mimi sio mzoefu wa magari ni gari yangu ya kwanza. Swali ni je , gari yangu tu au huwa na gari zingine inakuwa hivyo. Asanteni na karibu pia.