Shomari JF-Expert Member Mar 8, 2008 1,112 241 Aug 29, 2012 #21 Magari ya namna hii yana heshima, pia ni aghali sana. washamba tu ndio hamjui.
sweetlady JF-Expert Member Dec 24, 2010 16,947 8,409 Aug 29, 2012 #22 kitalolo said: hili gari au mashine ya kukatia majani? Click to expand... Hahahaha kitalolo you made my day lol! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
kitalolo said: hili gari au mashine ya kukatia majani? Click to expand... Hahahaha kitalolo you made my day lol!
sweetlady JF-Expert Member Dec 24, 2010 16,947 8,409 Aug 29, 2012 #23 mkaliwakitaa said: baya kinyama..linafaa kubebea ndizi na maziwa toka meru Click to expand... Hehehehe wivu ni kidonda ukishiriki utakonda .....wewe hapo ulipo huna hata baiskeli!
mkaliwakitaa said: baya kinyama..linafaa kubebea ndizi na maziwa toka meru Click to expand... Hehehehe wivu ni kidonda ukishiriki utakonda .....wewe hapo ulipo huna hata baiskeli!
Cha Moto JF-Expert Member Jul 2, 2011 945 153 Aug 29, 2012 #25 Hiyo chini Tsh Milioni 50 leo huipati ...............
tatanyengo JF-Expert Member Mar 30, 2011 1,134 280 Aug 30, 2012 #26 Safari_ni_Safari said: Ni suala binafsi kwa nini tulijadili? Click to expand... Ni suala binafsi kama Kikwete walivyowaambia wana-CCM kwamba urais ni suala la familia.
Safari_ni_Safari said: Ni suala binafsi kwa nini tulijadili? Click to expand... Ni suala binafsi kama Kikwete walivyowaambia wana-CCM kwamba urais ni suala la familia.