Achukue Ushauri huu!Chukua rav 4 old model
Nadhan unasikia stori za vijiweni kwenu halafu unazileta humu. Nimehamia rasmi Nissan family (xtrail na Nissan Gloria) toka February 2018.Hii ngoma iko delicate sana ,inaweza kukuzimikia muda wowote.alafu mafuta inakula sana cc 1950 na bei yake pia iko juu.
Hii ni zaidi ya gari kaka..Suzuki Jimny 660cc au Jimny Wide 1330cc. Ila kwa pesa hiyo mpaka umvue mtu.
Kaka bei yake inaenda kiasi ganiHii ni zaidi ya gari kaka..
Hili ni jiwee..!!
Ila ujipange kwenye bei yake..
Wakuu salaam.
Gari lipi linafaa kwa safari za hapa mjini,kutoka king'azi shule hadi posta kila siku.
Bajeti yangu ni 9mil na nategemea kuliendesha kwa maisha ya mshahara sina chanzo kingine.naomba unishauri kwa kuzingatia km per litr
Naomba pia anayejua ni km ngapi kutoka town hadi king'azi shule kule.
Asante kaka ila naona kama iko chini kwa madimbwi ya kutoka malamba mawili kuelekea mzarendoIST is the best for you
Pia na bei yake nahisi iko juu na mafuta inakula sanaIST is the best for you
Asante kaka ila naona kama iko chini kwa madimbwi ya kutoka malamba mawili kuelekea mzarendo
Pia na bei yake nahisi iko juu na mafuta inakula sana
Aiseee yaani kwa mvua hizi na usumbufu wa mwendo kasi inabidi ninunue kigari hata kama nimewahi mkuuKAMA IST INAKULA MAFUTA KWAKO, NA HUIWEZI KUIMUDU, THEN ANGALIA MAAMUZI YAKO YA KUNUNUA GARI - INAWEZEKANA UMEWAHI, MDA WA WEWE KUNUNUA GARI BADO, LABDA UNUNUE DUET 900CC AU MITSUBISH MINI - AMBAZO NI PASUA KICHWA KWA SPARE WAKATI MWINGINE....
Hakuna gari sitaki kuisikia kama lav4 hold model,kwanza kanafyonza mafuta utadhani kametumwa kukufirisiSikusoma vizuri, kama ni hayo maeneo ni issue, nafikiri NISSAN EXTRAIL WATU hawaipendi, ila ukipata -MAANZA HAZIUZWI ghali, ukaikagua vizuri (TAFUTA WATAALAM)- UKAHESHIMU SERVICE (HAITAKAGI USANII) - INAFAA SANA....
RAV YA ZAMANI MILANGO 4 NAYO NI CHOICE NZURI, ROHO YA PAKA, UNAWEZA KUWA MSANII KIDOGO KWENYE SERVICE IKAKUVUMILIA PIA
Hakuna gari sitaki kuisikia kama lav4 hold model,kwanza kanafyonza mafuta utadhani kametumwa kukufirisi
Kwani budget yako ya siku ya mafuta umetenga kiasi gani?Hakuna gari sitaki kuisikia kama lav4 hold model,kwanza kanafyonza mafuta utadhani kametumwa kukufirisi
5,000 mkuu,sina mishe zaidi nikitoka home ni moja kwa moja kazini na jioni hivo hivoKwani budget yako ya siku ya mafuta umetenga kiasi gani?
5,000 mkuu,sina mishe zaidi nikitoka home ni moja kwa moja kazini na jioni hivo hivo
Hapo maana yake ni Tsh 25000 kwa week. Maana mafuta ya Tsh 5000 ni kama zero tu. Hata hivyo,nakushauri tenga angalau elf30-40 kwa week. Mafuta ya Tsh 5000 ni upepo na unaweza kuua pump tu.5,000 mkuu,sina mishe zaidi nikitoka home ni moja kwa moja kazini na jioni hivo hivo