Kivumah
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,428
- 1,050
....GARI LA OBAMA....LABUMA NCHINI IRELAND...!
Source: Bloggers
.....hii ilishawahi kutokea pia kwa gari la Rais kikwete
The Beast aka Cadillac One,inakadiriwa kuwa na thamani ya dola milioni 1,na lina urefu wa futi 18 na uzito wa tani 8 pia haliingii bomu wala risasi kabisaaaa...
Prezidaa Obama alitembela pande za Moneygall, kijiji kilichoko Ireland ambapo inadaiwa kuwa babu wa babu zake Rais Obama aliishi pande hizo akifanya kazi ya kutengeneza viatu aka shoemaker
Source: Bloggers
.....hii ilishawahi kutokea pia kwa gari la Rais kikwete
Rais Barack Obama ameanza ziara ya nchi za Ulaya na atatembelea Uingereza,Ufaransa na Poland ikiwa ni sehemu yake ya ziara ya Europe,lakini kwa sasa yuko nchini Ireland na jana wakati anatoka US Embassy ya Dublin-Ireland gari lake aina ya limmo aka The Beast liligoma likiwa getini wakati linatoka na kuamua kulisogeza basi mbele yake ili kuwazuga wananchi wa Dublin waliokua nje wakimsubiri kumpungia mikonoz wasilione gari la Rais Obama lilivyogoma
The Beast aka Cadillac One,inakadiriwa kuwa na thamani ya dola milioni 1,na lina urefu wa futi 18 na uzito wa tani 8 pia haliingii bomu wala risasi kabisaaaa...
Prezidaa Obama alitembela pande za Moneygall, kijiji kilichoko Ireland ambapo inadaiwa kuwa babu wa babu zake Rais Obama aliishi pande hizo akifanya kazi ya kutengeneza viatu aka shoemaker