fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,452
- 8,003
Kama kuna mdau hapa,ana taarifa juu ya namna ambavyo mtu anayeanza kazi anaweza kupata mkopo wa gari,bila ya kuwa na pesa taslim,ila awe anakatwa kila mwisho wa mwezi.je afanyeje kupata mkopo wa hivyo?