Kayenga jr
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 443
- 348
CRV Honda hazina utofauti sana kwa ukimeo na Mitsubishi RVR a.k.a kitchen party
Hebu kesho siku nzima ukiwa kwenye mishe zako angalia utakutana na CRV ngapi? Hizi gari ni kimeo karibu zote zime park majumbani same.as Vibenz vidogo,freelander, rvr na Nadia zina phase out zeneyewe.
Kwa verosa kama unapenda gari za Engine kubwa chukua brevis
Mhh,aisee hii si miaka ya 80?maana kwa spare zipo kibaooooHonda sikushauri kuna jamaa mmoja alikuwa anamiliki balaa ilikuja kwenye spare mpaks aifate nje ya nchi aliuza kwa hasara sana kiufupi hazifai na hata hiyo verosa majanga ila ina unafuu kidogo kuliko Honda utaja lia nakuapia
Good Friday kwako pia..,Sawa, hujamboo lkn? Uwe na good easter Thursday
Achana kabisa na gari inayoitwa HONDA CRV nilishawahi kubwa nayo nikaiuza kwa bei ya kutupwa kwanza spare shida halafu haya ukipata bei yake ni balaa haitaki spare fake ila ulaji wake wa mafuta ni nzuri saaaaaaaaaaana,verosa kwanza mafuta engen kubwa zile tafuta kama Rav 4 itakufaa zaidi
muongo honda ni strong sana acha kupotoshaHonda sikushauri kuna jamaa mmoja alikuwa anamiliki balaa ilikuja kwenye spare mpaks aifate nje ya nchi aliuza kwa hasara sana kiufupi hazifai na hata hiyo verosa majanga ila ina unafuu kidogo kuliko Honda utaja lia nakuapia
Achana na watu wa toyota mkuumuongo honda ni strong sana acha kupotosha