Gari inauzwa

MwanaIFM

Member
Nov 20, 2010
42
27
Toyota Hilux Surf for sale. Milion 8.

Good condition. Iko Iringa. Maongezi yanaruhusiwa. Call or watsapp 0622261026
 

Attachments

  • IMG-20151219-WA0020.jpg
    IMG-20151219-WA0020.jpg
    71.1 KB · Views: 337
  • IMG-20151219-WA0022.jpg
    IMG-20151219-WA0022.jpg
    62.8 KB · Views: 283
  • IMG-20151219-WA0019.jpg
    IMG-20151219-WA0019.jpg
    41.5 KB · Views: 281
Aina sababu ya kuongea shombo kumbe sio maimunawar wenye uhitaji watakuja mkuu
 
Hivi Munawar aliwakosea nini wakuu. Naomba usiharibu uzi wangu. Nna shida nataka kuitoa hiyo gari

Shukran

Ni role model wa wauza magari kwa bei ya Mwaisela

Hizi gari ni nzuri,ila tatizo kwangu licha ya kwamba sio mnunuzi,ni seats zake.Yaaani kama ni mtu mrefu kiasi tu utapata tabu sana kwenye ukaaji wake.Unakaa kama vile unaruka kichura,distance baina ya seat za mbele na nyuma ni ndogo sana na seat level ipo chini sana.

Ila ni gari nzuri saana kwa matumizi na zinaweza kazi ngum na mazingira magum
 
Ni role model wa wauza magari kwa bei ya Mwaisela

Hizi gari ni nzuri,ila tatizo kwangu licha ya kwamba sio mnunuzi,ni seats zake.Yaaani kama ni mtu mrefu kiasi tu utapata tabu sana kwenye ukaaji wake.Unakaa kama vile unaruka kichura,distance baina ya seat za mbele na nyuma ni ndogo sana na seat level ipo chini sana.

Ila ni gari nzuri saana kwa matumizi na zinaweza kazi ngum na mazingira magum

Ni kweli mkuu hizo ni gari za kazi haswa kama ni mtu wa kazi. Nimekua naitumia kwa safari za Iringa Kilosa na haijawahi kunisumbua. Nina shida tu imenikuta inabidi niagane nayo nikaimarishe kilimo
 
Aina sababu ya kuongea shombo kumbe sio maimunawar wenye uhitaji watakuja mkuu

Pamoja mkuu. Naona watu wengi wanadhani wote ni madalali wakati ukweli ni kwamba kuna watu wana shida na pia wenye uhitaji.

Uwe na heri ya mwaka mpya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom