Duuu fuatilieni mmpate mtoto tu lazima watamtelekeza gari achaneni nalo.
Hapana linapasa kusomeka hivi "Mtoto aibwa akiwa ndani ya gari" gari lazima liwe la mwisho kwenye sentensi!Binadam mmekuwaje nyinyi mtoto mmemuweka kwenye tangazo kama vile
IMEIBIWA SIM ILIKUWA NA LINE.
Me naisi tangazao ni hiv GARI NA MTOTO VIMEIBWA SASA HIV
Usiseme uzembe kwa sababu haikukuta maana maelezo yanaonesha jamaa kashuka mara moja inaonekana ni kitendo cha haraka hapo kilifanyikaHuu uzembe wa kuacha watoto kwenye magari jamani!
Yaraby Salama ya huyo mtoto
Wanaweza hata kukadhuru hako katoto wao waondoke zao, dunia yetu hii ambayo mtu anaua kwa ajili ya laki moja!Jamani tunaomba msaada, gari namba T400DEH Toyota Harrier Rangi ya silver imeibiwa maeneo ya Makonde Mbezi beach nusu saa imepita na kuelekea barabara ya Goba na ikiwa na mtoto mdogo ndani yake.
Tumsaidie mwenzetu...
Uhalifu wa namna hiyo (ransom) bongo bado haujafika labda huu uwe wa kwanza.....!Tuombe Mungu mtoto apatikane akiwa salama , hii tabia ya kuacha watoto kwenye gari ni hatari sana
Hao jamaa wanaweza kudai fidia ili wamwachie mtoto kama sio wezi wa kawaida wa magari
Mungu mlinde huyu mtoto kwa kweli gari itataftwa hata nyingine
Mtoto je?Nasikia wameitelekeza Mwenge
Wameikuta bila mtoto, ila wanaendelea kufuatilia.Mtoto je?