Haswaaaaa maana nimetafuta kote sijapata habari hiyoHebu tupe kwanza source ya habari mkuu!!!
Hebu tupe kwanza source ya habari mkuu!!!
al jazeer na bbc kakamatwa na watoto wake wawili yeye kapelekwa na machela mahakamani vp umeme huko kwenu wamewachakachua .
<br />Huwa nachukia sana watu wanapoleta porojo ktk mambo muhimu. Hii inashusha hadhi ya JF kama chanzo muhimu cha habari kwa baadhi yetu. Mods chukueni hatua sahihi dhidi ya huu upupu.
<br />huyu jamaa ni mpuuzi kweli kweli,sasa anafikiria nini upupu wake huu hapa?
<br />ok asante kwa kutambua kosa na kukiri,pamoja sana
<br />Jesus christ jamani walimwengu wana mambo vyombo vya habari vinasema hosn mobarak amekamatwa sasa najiuliza akikutwa ana hatia atapewa adhabu gani? Toeni tu maoni siyo mbaya au ungependa afanyweje? Pia akipatikana hana hatia ? Itakuwaje ?
<br /><br /><br />
<br /><br />
huyo gaddafi hapo kafata nini,kwenye HEADING
support@jamiiforums.com<br /><br />
<br /><br />
haina kwere kamana kajole nitatoaje hiyo title hapo juu ya gadaf nimeshindwa
Jesus christ jamani walimwengu wana mambo vyombo vya habari vinasema hosn mobarak amekamatwa sasa najiuliza akikutwa ana hatia atapewa adhabu gani? Toeni tu maoni siyo mbaya au ungependa afanyweje? Pia akipatikana hana hatia ? Itakuwaje ?
Jesus christ jamani walimwengu wana mambo vyombo vya habari vinasema hosn mobarak amekamatwa sasa najiuliza akikutwa ana hatia atapewa adhabu gani? Toeni tu maoni siyo mbaya au ungependa afanyweje? Pia akipatikana hana hatia ? Itakuwaje ?