Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Rais Muamar Gadafi ni mkuu wa Umoja wa afrika.Hivi kweli anafaa kuiongoza Afrika wakati nchi yake inamshinda?Kwani kuwa mkuu wa Umoja wa Afrika kunahitaji sifa gani?Au hakuna kigezo?
Mimi sijui.
LEO Tar. 1/7/2009,
Kwa mujibu wa Shirika la habari la AFP Rais Mahamoud Ahmednejad wa Iran ambaye alialikwa na kiongozi wa Libya Kanali Muhamar Gadafi kuhutubia mkutano huo sasa hatohudhuria.
Hakuna taarifa zilizotolewa juu ya hatua hiyo.Kadhalika Waziri Mkuu wa Italia Silvio Berlosconi ambaye pia alialikwa na Kanali Gadaff amefuta ziara hiyo..
Kanali Gadaffi ambaye ndiye kiongozi wa umoja huo wa Afrika kwa sasa, anategemewa kusukuma zaidi ajenda yake ya kutaka kuundwa kwa serikali ya Afrika.Hata hivyo ajenda kuu ya mkutano huo wa siku tatu wa wakuu wa Afrika ni kuimarisha uwekezaji katika sekta ya kilimo barani Afrika.
Je hii ni dalili ya kwamba hakubaliki?
Mimi sijui.
LEO Tar. 1/7/2009,
Kwa mujibu wa Shirika la habari la AFP Rais Mahamoud Ahmednejad wa Iran ambaye alialikwa na kiongozi wa Libya Kanali Muhamar Gadafi kuhutubia mkutano huo sasa hatohudhuria.
Hakuna taarifa zilizotolewa juu ya hatua hiyo.Kadhalika Waziri Mkuu wa Italia Silvio Berlosconi ambaye pia alialikwa na Kanali Gadaff amefuta ziara hiyo..
Kanali Gadaffi ambaye ndiye kiongozi wa umoja huo wa Afrika kwa sasa, anategemewa kusukuma zaidi ajenda yake ya kutaka kuundwa kwa serikali ya Afrika.Hata hivyo ajenda kuu ya mkutano huo wa siku tatu wa wakuu wa Afrika ni kuimarisha uwekezaji katika sekta ya kilimo barani Afrika.
Je hii ni dalili ya kwamba hakubaliki?
Last edited: