Innocent Kirumbuyo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,640
- 4,426
Afie mbali kabisa shetani gadafiGadafi ni mtu mmoja asiyeeleweka. unajua kuna tatizo moja, waislam wenye msimamo mkali kama gadafi, huwa na akili pungufu sana, wanafikiri kama wenye ubongo wa samaki hakika. Kuna siku mwaka jana alishasema at BIBLIA NI MANENO YA UONGO TU NI STORI TO, na kwamba, DINI PEKEE NI UISLAM NA WAKRISTO WOTE WANATAKIWA WASILIM.
Leo tena anakuja anasema,AFRIKA WAFUTE BALOZI ZA ISRAEL. hivi anafikiri kila mtu hapa ni mwislam? au anafikiri hapa kila mtu anaupenda uislam? anafikiri kila mtu anapenda ushirika na waarabu? au tunaishi tu hapa kwa kuvumiliana kwasababu tu ndani ya nchi kuna dini nyingi na tunaishi kwa kuheshimu dini za wengine ili tuishi kwa amani?
anasahau kuwa, ukianza kuuliza swali mtu mmoja mmoja ukipitia makanisa yoote Tanzania, au east Africa yoote hata dunia, watakaosema wanaichukia Israel hawapo. hata ukiwauliza kuwa, je ni vyema Israel kulipiza kisasi kwa wapalestina, wote watasema ndiyo. ukiwauliza wakristo wote nchi ya israel ni ardhi ya nani watakwambia ni ardhi ya israel. hadi leo hii haiingii kichwani kwa mkristo yoyote kusikia kuwa Bethlehem mji aliozaliwa Yesu ni makao makuu ya palestina..hahaha. lakini tunanyamaza tu tunaishi kwa kuvumiliana. ila kila siku tunaiiombea israel izidi kupanua mipaka yake ifike hadi damascus ikiwezekana, kwasababu kulingana na Mungu alivyowapa ile ardhi, hadi Jordan yote ni yao, and even part of syria au syria yote kabisa.
Sasa, kama kuna siku kikwete atataka kuwajaribisha wakristo wa tz, aseme hakuna uhusiano kati ya israel na tz, hapo ndo ataona kuwa kumbe vile vita vya israel havipiganwi na waisrael peke yao.
sasa gadafi anapokuja na maneno yake kama hayo akirikiri labda sisi wengine ni ndugu zake, anakuwa kama mtoto mdogo.anajiona amefikia maendeleo makubwa sana kule libya ya kuweza kuwafundisha waafrika maisha.