future scientists wa tz-products za ccm

Utingo

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
10,270
8,033
paper.jpg
 


Hawa ni kidato cha nne wanafanya mitihani, huo mwanga wa jua unawaharibu macho. :mmph:
 
Dah! Ingekuwa mimi ningekataa kufanya mtihani katika mazingira hayo, tena kwa sababu za msingi kabisaa:

  1. jua,
  2. vumbi,
  3. upepo,
  4. wakinamama wanapita barabarani,
  5. watoto wanachunga mbuzi jirani,
  6. ndege juu ya mti wanakunya!
  7. :mmph::mmph::mmph::mmph::mmph::mmph:
 
Hii ndio faida ya shle za sekondari za kata na ambazo zimekuwa zikipigiwa debe na kuonekana za manufaa mbele ya wapiga kura wa nchi hii.
Unadhani katika mazingira haya kuna ambaye atafaulu hapo?Ni ziro kwa kwenda mbele.
 
hivi kweli kwa mtindo huu tutafika?Tanzania tuko dunia ya ngapi jamani na tunaelekea wapi. nchi yetu ina utajiri mkubwa wa rasilimali ambazo zinaliwa na wanaojiita wajanja wa nchi hii kwa kufanya mikataba mibovu na wageni.kwa jina lingine tuwaite mafisadi papa mungu tusaidie ndo maana wanafunzi wanafanya mitihani yao katika mazingira magumu kiasi hiki. Tanzania bila CCM inawezekana jamani, tuungane pamoja na kumpa Dr. Slaa kura zetu tuone kama hatutabadilika. :mmph:
 
Imenibidi nivute pumzi kwanza !!!! Hali ya kielimu inasikitisha sana.... na haya ni mafanikio ya JK and Co, eti
wamejenga shule za kata !!!
" Value your Vote, Vote for Change"
 
Nahisi kujiniga kwa hasira jaman. Halafu wanajisifia eti shule za kata jamani tumuogope Mungu na kumpenda. Nonsense.
 
Back
Top Bottom