Fursa za biashara nchi ya Thailand

Nimejaribu kutafiti gharama ya nauli kwenye mtandao, kwa safari ya August ukibook leo unaweza kupata kwa USD 700 na kidogo hiyo ni return ticket.

Mkuu najipanga kwenda 1st Nov. Je wewe unategemea kwenda huko?
 
I support the motion. Mm naamini kwenye umoja au synergy, siamini kwamba mmoja anajua kila kitu. Ninachoamini ni kwamba tunazidiana kwenye kuelewa mambo na resources pia so tukicombine strength na challenges zetu wote tunabenefit.

Kuna few guys niliwapm kucheck willingness zao, soon tutaenda kwenye next step and slowly but surely tutafika tunapohitaji kufika.

bobby ni pm na mimi
 
Nchi ya Thailand ni kama unavyoona china imepiga hatua kubwa kwa viwanda na leo nitawaonyesha fursa ili kusaidiana hasa kwa wale wajasiriamali.

Kwanza kabisa wana hotel nyingi na nzuri na kwa bei rahis sana .mfano wa hotel hizo ni Airy resort bei yake ni tzsh 21,000 kuna silva gold garden bei tzsh 23,000 etc hizo zipo karibu na airport na hizo room kuna wifi, simu, maji, vitanda safi, room kubwa etc.

Mji wao mkuu ni Bangkok. Kwa wale wenye maduka ya nguo ya kuuza shirts,blouses,skirts, jackets, ties, bags etc ni fursa nzuri kwenu sababu kule vitu bei ni sawa na bure ata nguo nyingi na viatu zinazouzwa Marekani zimetoka Bangkok Thailand, China na Korea.

Sababu kuu ya bei yao kuwa ndogo ni kuwa wanatumia cheap labor na wana viwanda vingi sana.

Unaweza kununua bidhaa zako kwenye shopping mall au kwenye masoko ya bei rahis mfano kuna soko la weekend linaitwa "chatuchak weekend market " hapo wakuu vitu bei ni sawa na bure na nguo mpya quality nzuri.

Mfano bei za tshirt, jeanz unaweza pata kuanzia 50baht sawa na dolla 1.60 adi 100 baht hizi bei ninazokutajia ni kama ukinunua kwa bidhaa moja moja kwa maana hiyo ukinunua kwa jumla bei inakuwa chini ya hapo.

Kwa bei ya kitu kimoja moja kiatu kizuri cha 60,000 bangkok utanunua kwa dolla 3 au 4.

Pia unaweza kubageini kwa maana hiyo ukinunua kwa uwingi unapunguziwa.

Pia kuna market nyingine kama Prutunam market.

Kwa wale wenzangu mnaopenda kufanya shopping kwenye mall

Kuna shopping mall kama Terminal 21 ,shopping mall mbk etc.

Kwa hiyo ni jukumu lako kuamua kama unafanya shopping kwa market za kawaida ambazo bei uwa cheap zaidi kutokana ufanyika sehemu ya wazi. Na ukipenda shopping mall sawa pia.

Pia kule bidhaa za heleni za kina dada na cheni zipo kule bei ya cheni ya silver ni rahis zaidi kuliko tz.

Tiket za ndege bei utegemea umekata ndege gani na umekata mapema au ...
Hivo unaweza kufatilia ilo.

Kuna wafanyabiashara wa maduka wengi kariakoo nawajua kama 3 waliotajirika kupitia kufata mzigo uko.

Mwenye kuongezea ujuzi ruksa pengine kuna vitu nimesahau pia kama nimeandika kiswahili kibovu samahan.

Kazi kwenu sasa


Ubarikiwe sana kaka mpendwa. Watu kama nyinyi ni wachache sana bongo yetu hii......kikwazo kikubwa ni TRA. Nimependa sana wazo na ninafikiria kwenda na mimi ili kupunguza takwim za umasikini.
 
Ubarikiwe sana kaka mpendwa. Watu kama nyinyi ni wachache sana bongo yetu hii......kikwazo kikubwa ni TRA. Nimependa sana wazo na ninafikiria kwenda na mimi ili kupunguza takwim za umasikini.

Funga safari utajionea fursa mbalimbali ata ambazo hujafikiria bado kufanya
 
jamani mi nahitaji mwanamke mwenye uzoefu wa huko, aniambie siku anayokwenda kuchukua mzigo niongozane nae akanipe uzoefu. ntamlipia ticket ya kwenda na kurudi ila malazi na chakula atajitegemea. NB. Awe mwanamke, na mimi ni KE

Ubaya wa kwenda na Mwanaume ni upi ndugu....! nahisi ubaguzi hapa....
 
Pamoja ...

mdau Money Stunna me nna maswali kadhaa,je mzigo naoununua ntauleta kwa njia ya meli au ntakuja nao kwa ndege???
Swali lingine,labda napaswa kuwa na mtaji wa kuanzia shilingi ngap???,swali lingine utaratibu wa kupata visa upoje???je Thailand wana ubaloz hapa Tanzania???
 
Last edited by a moderator:
mdau Money Stunna me nna maswali kadhaa,je mzigo naoununua ntauleta kwa njia ya meli au ntakuja nao kwa ndege???
Swali lingine,labda napaswa kuwa na mtaji wa kuanzia shilingi ngap???,swali lingine utaratibu wa kupata visa upoje???je Thailand wana ubaloz hapa Tanzania???

Kuhusu usafiri kuleta mzigo inategemea na mzigo wenyewe siwezi kwambia ndege wakati unaleta gari.

Pia mtaji inategemea na kitu unachofata siwezi kwambia million 4 wakati unafata gari.

Visa kupata ni rahisi ongea na kampuni zinazokatisha ticket watakwambia issue nzima na gharama na wakati gani gharama zinakuwa chini
 
Last edited by a moderator:
Kuhusu usafiri kuleta mzigo inategemea na mzigo wenyewe siwezi kwambia ndege wakati unaleta gari.

Pia mtaji inategemea na kitu unachofata siwezi kwambia million 4 wakati unafata gari.

Visa kupata ni rahisi ongea na kampuni zinazokatisha ticket watakwambia issue nzima na gharama na wakati gani gharama zinakuwa chini

binafsi nazungumzia bidhaa za kawaida kama vile nguo,viatu na vitu vya mapambo kwenye nyumba like maua,na hapo ndo napenda kujua mtaj wa kuanzia
 
jamani mi nahitaji mwanamke mwenye uzoefu wa huko, aniambie siku anayokwenda kuchukua mzigo niongozane nae akanipe uzoefu. ntamlipia ticket ya kwenda na kurudi ila malazi na chakula atajitegemea. NB. Awe mwanamke, na mimi ni KE

Mdada wala usigharimike kumgharamia mtu ticket, tukiamia sisi wenyewe wanawake tunaweza tukajiorganise tukaenda make humu wajasirimali tupo wengi tu.

Nafikiri tuwasiliane wale ambao tunahitaji kwenda huko ili tufanye booking mapema.

Waione: amu, Kaunga na Smile
 
Last edited by a moderator:
Utakua ulienda na Falcon au Friens bus Company, yap uzi huu umesaidia wengi sana sema hawaleti mrejesho na kuhusu Thai mtafute Bobby kama alifanyia kazi, fursa nje ziko nyingi sana sema watu ni waoga cjui kwa nini?




Shukrani sana mkuu Money Stunna, kuna uzi ulikuwa unahusu Biashara ya kwenda Uganda uzi huo umenisaidia sana na pia ntautumia uzi huu wa Thai kwenda huko....

Jamani tusiogope kabisa, fursa ndio hizi!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom