Fursa: Waethiopia Milioni 10 Wanakabiliwa na Janga la Njaa.Kwa Nini Serikali Haichangamkii Fursa ya Kufungua Ofisi za Kuuza Mazao ya Chakula?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,042
49,727
Tanzania tumejaaliwa kuwa na Mazao mbalimbali ya chakula na tunazalisha Kwa kiwango Cha Kutisha.

Wenzetu Nchi za Ethiopia,Somalia,Eritrea na Kenya zimekuwa zinakumbwa na ukame wa mara Kwa mara au Mafuriko hivyo kusababisha majanga ya njaa ya mara Kwa mara.

Napenda kufahamu Kwa nini Serikali Kupitia Wizara ya Kilimo haijafungua Ofisi za Kuuza vyakula processed au nataka ghafi Ethiopia Ili kuwapatia wakulima soko la uhakika?

Au Waethiopia Huwa hawali Ugali? Kama ugali hawali mpunga/Mchele upo what hatuchangamkii fursa.

Tuna Ofisi Kenya,Sudani Kusini na DRC Sasa Kwa nini hatufungua huko Ethiopia? Haiwezi pita miaka 3 bila hizo Nchi kukukwa na majanga ya ukame na Mafuriko so ni fursa kwetu.

View: https://twitter.com/bbcswahili/status/1755978257470525821?t=fNfpjUaa_lWXPYfKjsp1jg&s=19
 
Mkuu Hadi unaandika hivi wenzetu wakenya wanapeleka chakula cha kutoka Tanzania Toka mwaka Jana.
Jamaa yangu nipo nae hapa kariakoo mwaka alienda tabora na mpanda kununua mahindi na mpunga alikutana na changamoto ya ununuaji kutokana na wakenya wakinunua Kwa bei ya juu mazao yote... kuanzia mwezi August serikali walipiga marufuku wakenya kununua mazao na soko lote la mazao limeyumba Hadi Leo hii imetokana na serikali yetu kuzubaa kwenye kila kitu
 
Mkuu Hadi unaandika hivi wenzetu wakenya wanapeleka chakula cha kutoka Tanzania Toka mwaka Jana.
Jamaa yangu nipo nae hapa kariakoo mwaka alienda tabora na mpanda kununua mahindi na mpunga alikutana na changamoto ya ununuaji kutokana na wakenya wakinunua Kwa bei ya juu mazao yote... kuanzia mwezi August serikali walipiga marufuku wakenya kununua mazao na soko lote la mazao limeyumba Hadi Leo hii imetokana na serikali yetu kuzubaa kwenye kila kitu
Wako wapi mbona hatuwaoni mashambani na bei za mahindi zimeporomoka?
 
Tanzania tumejaaliwa kuwa na Mazao mbalimbali ya chakula na tunazalisha Kwa kiwango Cha Kutisha.

Wenzetu Nchi za Ethiopia,Somalia,Eritrea na Kenya zimekuwa zinakumbwa na ukame wa mara Kwa mara au Mafuriko hivyo kusababisha majanga ya njaa ya mara Kwa mara.

Napenda kufahamu Kwa nini Serikali Kupitia Wizara ya Kilimo haijafungua Ofisi za Kuuza vyakula processed au nataka ghafi Ethiopia Ili kuwapatia wakulima soko la uhakika?

Au Waethiopia Huwa hawali Ugali? Kama ugali hawali mpunga/Mchele upo what hatuchangamkii fursa.

Tuna Ofisi Kenya,Sudani Kusini na DRC Sasa Kwa nini hatufungua huko Ethiopia? Haiwezi pita miaka 3 bila hizo Nchi kukukwa na majanga ya ukame na Mafuriko so ni fursa kwetu.

View: https://twitter.com/bbcswahili/status/1755978257470525821?t=fNfpjUaa_lWXPYfKjsp1jg&s=19


Chakula chao kikubwa injera, nafikiri kinatokana na ngano. Pia wanapenda kula nyama mbichi. Hivyo usije ukajisifu kuwa una chakula cha kuwapa, kumbe wao hicho chakula chako hawakielewi.

Ni kama mtu wa Ifakara awe anafikiria kuwapelekea mchele wahaya wa ndani ndani huko, ambao chakula kwao ni ndizi bukoba.
 
Chakula chao kikubwa injera, nafikiri kinatokana na ngano. Pia wanapenda kula nyama mbichi. Hivyo usije ukajisifu kuwa una chakula cha kuwapa, kumbe wao hicho chakula chako hawakielewi.

Ni kama mtu wa Ifakara awe anafikiria kuwapelekea mchele wahaya wa ndani ndani huko, ambao chakula kwao ni ndizi bukoba.
Wanalima sana mahindi kama sisi sanjali na hayo unayoyasema.
 
Back
Top Bottom