totoadela
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 350
- 1,075
Furahia MUDA ulioanao na yule unayempenda. Kila mtu tuliyenaye kwenye maisha yetu hatadumu milele.
Wengine tutakuwa nao kwa muda mrefu sana na wengine tutakuwa nao kwa muda mfupi.
Mungu hutupa watu kwa MAJIRA fulani na kwa MAKUSUDI fulani
Ni rahisi sana kujikuta ukisubiria ufike kiwango fulani Au upate kitu fulani ndipo uweze kufurahia maisha, Ila utagundua kadri siku zinavyoenda ndivyo unavyozidi kusogeza mbele FURAHA.
Usisahau kuwa kila ULIYENAYE, lazima kuna MADHAIFU na MAPUNGUFU anayo.
Unachotakiwa ni kuamua kuwa, katika muda ambao uko naye uangalie yale mazuri ambayo yatakupa FURAHA kwa wakati huo,Kama hajaja kukupa FURAHA, basi atakuwa amekuja KUKUFUNDISHA Au atakuwa amekuja.
KUKUUNGANISHA na mtu.Hakuna mtu ambaye hana FAIDA, hata yule ambaye amekusababishia MAUMIVU naye pia kuna SOMO AMEKUPA.
Wengine tutakuwa nao kwa muda mrefu sana na wengine tutakuwa nao kwa muda mfupi.
Mungu hutupa watu kwa MAJIRA fulani na kwa MAKUSUDI fulani
Ni rahisi sana kujikuta ukisubiria ufike kiwango fulani Au upate kitu fulani ndipo uweze kufurahia maisha, Ila utagundua kadri siku zinavyoenda ndivyo unavyozidi kusogeza mbele FURAHA.
Usisahau kuwa kila ULIYENAYE, lazima kuna MADHAIFU na MAPUNGUFU anayo.
Unachotakiwa ni kuamua kuwa, katika muda ambao uko naye uangalie yale mazuri ambayo yatakupa FURAHA kwa wakati huo,Kama hajaja kukupa FURAHA, basi atakuwa amekuja KUKUFUNDISHA Au atakuwa amekuja.
KUKUUNGANISHA na mtu.Hakuna mtu ambaye hana FAIDA, hata yule ambaye amekusababishia MAUMIVU naye pia kuna SOMO AMEKUPA.