Kwa kuzingatia itifaki, sitaweza kutaja ID yake, ila ki ukweli huyu mwanamke ameutesa moyo wangu mwaka wa tatu sasa, kumwambia nashindwa maana mi ni mume wa mtu.
Kwanza ana sifa pekee ya hekima, na uelewe wake ni mkubwa Sana.
Hana majivuno wala dharau yoyote.
Ni mtaratibu Sana, aisee, nadhani ameshajijua hebu naomba basi ani pm ili tuyamalize pm.
Kwa mbaaaaaaaali................. Anafanana na huyu first lady hapa chini, Kwa kimo kidogo, ucheshi na uongeaji.
Me Serengeti boy so karibienimume wa mtu,,,,,, ni hataareeeee!!!!!! bora uangukie serenget boys.
Unapesa?
Appreciation haiangalii kuwa huyu kaolewa au kaoa. Unless mtu awe na mawazo tofauti. Mbona mi nakuapreshieti lakini sikuwazii yale mambo yetuMume wamtu tulia na mkeo....
Ila si unajua kama mi Nakupenda ehee?Daa wengine tuna gundu hatupendwi
Sasa mwenzio ye anatamani kulala nae...Appreciation haiangalii kuwa huyu kaolewa au kaoa. Unless mtu awe na mawazo tofauti. Mbona mi nakuapreshieti lakini sikuwazii yale mambo yetu
Yaani ndugu yangu wewe acha tu.....
Siku nikilala na huyu mwanamke na Siku zangu zitaongezeka, Kwa kweli amebarikiwa.