Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
...rafiki yangu alinambia ameumizwa sana kwenye mapenzi kiasi kwamba anaona moyo wake umekufa ganzi, amekuwa mkatili,...hawezi kupenda tena!
Kina dada, na kina kaka....wazee kwa vijana. Najua kwa namna moja au nyingine
mshakumbana na wenye hali hii. Mnatoa maoni na ushauri gani kuweza kusaidia kwenye situation
hii.
...Unapopendana na mtu wa aina hii, utajuaje anakupenda na si kwamba yumo mguu ndani mguu nje?