fungua moyo!

Mbu

JF-Expert Member
Jan 11, 2007
12,753
7,845
black-man-378x365.jpg

...rafiki yangu alinambia ameumizwa sana kwenye mapenzi kiasi kwamba anaona moyo wake umekufa ganzi, amekuwa mkatili,...hawezi kupenda tena!

sad-black-woman2-brown-skin-woman1.jpg

Kina dada, na kina kaka....wazee kwa vijana. Najua kwa namna moja au nyingine
mshakumbana na wenye hali hii. Mnatoa maoni na ushauri gani kuweza kusaidia kwenye situation
hii.

...Unapopendana na mtu wa aina hii, utajuaje anakupenda na si kwamba yumo mguu ndani mguu nje?
 
Nilipendana na msichana aliyekuwa amebikiriwa na kupata mimba siku hiyohiyo, na matokeo jamaake akaikataa mimba na mtoto!
Msichana huyu alikuwa na tabia za pekee sana katika mahusiano na mimi hasa tunapokuwa na privacy...ni mwoga wa kila kitu, anapeleka kumbukumbu zote kwenye tukio la kwanza na kuhisi huenda akaishia kutelekezwa tena!

Cha kufanya kwa watu wa namna hii (kama atakuwa amekusimulia) basi ni kumfanyia councelling, hakuna dawa ingine itakayoingia kwenye bongo yake zaidi ya assurance kuwa utamtunza na atakuwa katika mikono salama!
Kwa ufupi wanahitaji sana mawasiliano ya mdomo, au kusemezana!
 
My first love wa a jerk... Nili sacrifice a lot of things, a quality and quantity of my life time kwake..
Alinipanda, alinikanyaga, alininyanyasa kijinsia in short alinishika masikio na nilikua sifurukuti..
I was in love than i had never been before nafikiri ilichangiwa na the fact kua he was my first love
and first man to show me love and its wonderful intimacy side of it... BUT he was a Jerk!

Pamoja na yoote niliyoyapitia i have never regretted for imenifanya niwe appreciative sana
kwa a guy who loves and cares for me (sichukulii for granted).. I don't regret because i have
a wonderful child from him - I don't regret because he made me grow up in a woman who
now understands her self na which line to draw inapohusisha the man i love... (my hubby)
I don't regret because experience kama hizi is good for the soul and mind mradi uwe
na nguvu ya kurise... na napenda the fact kua ana regret and wishes tungekua
pamoja (F** him!).. Mbu hapa am sorry...

Kwa wanaume mara nyingi ikitokea hivyo ni kazi kurudi... kikubwa ni kumpata mdada
mvumilivu na aelewe the situation ya the guy...
 
Huwa ni ngumu sana Mbu,na kuna wakati unaweza jiona ni mwenye mikosi. inabidi yeye mwenyewe ayakubali mabadiliko in a positive way lasivo hata useme nini kama yeye mwenyewe hatakubali hayo ni mapito na yana kila aina ya uzuri na ubaya ndani yake mambo yatakuwa yaleyale.

Hata atapopata mpenzi mzuri kupitiliza,bado atamuona ni mbaya sababu bado anaishi na majeraha aliyobebeshwa na watu wengine.
 
me siamini kama kweli mtu waweza penda kama huna akili timamu.

Pole sana mkuu kama hujawahi ona
ni ngumu kuamini kama hujapitia
au shuhudia... ni kitu kizuri sana
lakini sasa kikipinduka mmmhhh
balaa
 
My first love wa a jerk... Nili sacrifice a lot of things, a quality and quantity of my life time kwake..
Alinipanda, alinikanyaga, alininyanyasa kijinsia in short alinishika masikio na nilikua sifurukuti..
I was in love than i had never been before nafikiri ilichangiwa na the fact kua he was my first love
and first man to show me love and its wonderful intimacy side of it... BUT he was a Jerk!

Pamoja na yoote niliyoyapitia i have never regretted for imenifanya niwe appreciative sana
kwa a guy who loves and cares for me (sichukulii for granted).. I don't regret because i have
a wonderful child from him - I don't regret because he made me grow up in a woman who
now understands her self na which line to draw inapohusisha the man i love... (my hubby)
I don't regret because experience kama hizi is good for the soul and mind mradi uwe
na nguvu ya kurise... na napenda the fact kua ana regret and wishes tungekua
pamoja (F** him!).. Mbu hapa am sorry...

Kwa wanaume mara nyingi ikitokea hivyo ni kazi kurudi... kikubwa ni kumpata mdada
mvumilivu na aelewe the situation ya the guy...
Don't get me wrong but i think LOVE DOESN'T MAKE NO SENSE
 
Duh Mbu.........this thread is one in a million kwa kweli.
All that I can say ni kuwa mchangia mada wa kwanza ameyasema yote ninachoongezea tu hapo ni TIME................ unapoanza na mtu ambaye ameumizwa kuna umuhimu wa kumpa assurance kama alivyosema Mbwiga plus and then it should be backed up with time........kuzoea na kuanza kutrust tena huchukua muda kiasi so time heals.
All teh best.

NB: Kabla hujainvest hayo yote, you need to sit down na kuongea ili mkubaliane kwa pamoja kuwa hata yeye yuko tayari kuparticipate katika hiyo healing process.
 
Pendo,mapenzi,Kupenda naamini nikwamba penzi ni mara moja!!haijalishi upo katika status gani yule unaye mpenda kwa wakati huo ndiye roho yako imemwangukia!!Kwa maana hiyo ukiwana na mke nyumbani ukakutana na Afrodenzi ujue huyo ndo unayempenda wanyumbani huna mapenzi naye! hivyo narudi huku hakuna aliyeumizwa nikwamba mda wake wakupendwa umeisha ajipange upya hakuna kulalamika nimetendwa NO!!
 
Mmmmhhh
ninachoelewa ni ngumu
kependa tena na kumtrust mtu
yeyote.. zidi kusukuma siku mbele
and hope for the best... tafuta
furaha na amani moyoni mwako
..look after yourself 1st...

AD umenena vema but hiyo look after yourself first, sometimes the person anayemzungumzia ni sehemu ya hiyo self yake yeye.......one cant ignore!
 
My first love wa a jerk... Nili sacrifice a lot of things, a quality and quantity of my life time kwake..
Alinipanda, alinikanyaga, alininyanyasa kijinsia in short alinishika masikio na nilikua sifurukuti..
I was in love than i had never been before nafikiri ilichangiwa na the fact kua he was my first love
and first man to show me love and its wonderful intimacy side of it... BUT he was a Jerk!

Pamoja na yoote niliyoyapitia i have never regretted for imenifanya niwe appreciative sana
kwa a guy who loves and cares for me (sichukulii for granted).. I don't regret because i have
a wonderful child from him - I don't regret because he made me grow up in a woman who
now understands her self na which line to draw inapohusisha the man i love... (my hubby)
I don't regret because experience kama hizi is good for the soul and mind mradi uwe
na nguvu ya kurise... na napenda the fact kua ana regret and wishes tungekua
pamoja (F** him!).. Mbu hapa am sorry...

Kwa wanaume mara nyingi ikitokea hivyo ni kazi kurudi... kikubwa ni kumpata mdada
mvumilivu na aelewe the situation ya the guy...

AshaD I salute you!! Yaani kweli umekomaa kimapenzi na hivi ndivyo wengi tunatakiwa kuwa....umependa, ukaumizwa tusiichukulie ile kuumizwa kama mkosi bali kama baraka ya kutufunza jinsi ulimwengu wa mapenzi ulivyo.I believe ambaye ameingia kwenye mapenzi bila kuumizwa hata kama anaishi maisha ya raha vije ..bado ni naive kwenye mapenzi na siku gharika lolote hata dogo likimtokea impact yake kwake itakuwa kubwa sana.

Lets us learn from the Maumivu so that we appreciate wapenzi wetu.
hapo kwenye red hapo mydia nakuunga mkono kabisa..........wanawake tumeumbwa kusahau kama tutasahaulishwa..... ila nijuavyo wanaume wameumbiwa mioyo migumu so kuumizwa kwao huwa si rahisi sana but ukimpata aliyeumizwa akaumia inakuwa ngumu sana kwa yeye kutrust...................sana sana atakuwa anatoa kauli ya ...Wanawake ndivyo mlivyo......all the time.
 
Kwa kweli inasikitisha sana jinsi binadamu anaweza mtesa mwenzake kwa kiasi cha namna hii, mpaka mtu kujiona astahili kuishi, kupenda tena, na aliyeumizwa leo, na yeye atamuumiza mwingine kesho.... na hii ya kupenda usikopendwa nako inasababisha sana haya yanayotukuta kwenye mahusiano kwa hope kwaamba mnavyoendelea ndio atabadilika na kukupenda...thats why mi napenda kujipa raha za maisha to the fullest!!! sijui la kesho ni nini
 
AshaD I salute you!! Yaani kweli umekomaa kimapenzi na hivi ndivyo wengi tunatakiwa kuwa....umependa, ukaumizwa tusiichukulie ile kuumizwa kama mkosi bali kama baraka ya kutufunza jinsi ulimwengu wa mapenzi ulivyo.I believe ambaye ameingia kwenye mapenzi bila kuumizwa hata kama anaishi maisha ya raha vije ..bado ni naive kwenye mapenzi na siku gharika lolote hata dogo likimtokea impact yake kwake itakuwa kubwa sana.

Lets us learn from the Maumivu so that we appreciate wapenzi wetu.
hapo kwenye red hapo mydia nakuunga mkono kabisa..........wanawake tumeumbwa kusahau kama tutasahaulishwa..... ila nijuavyo wanaume wameumbiwa mioyo migumu so kuumizwa kwao huwa si rahisi sana but ukimpata aliyeumizwa akaumia inakuwa ngumu sana kwa yeye kutrust...................sana sana atakuwa anatoa kauli ya ...Wanawake ndivyo mlivyo......all the time.
Yaaaaani hiyo bold inanihusu kabisa lol!!!! mwanajamiiOne mie sikuwahi kuumizwa kabisa na kuvunjwa moyo kipindi cha u GF hadi baada ya ndoa ndio nilikiona cha mtema kuni, ila ni baada ya kipindi kirefu tu na ikikutokea unayumba haswa maana gharika lake linakuwa na nguvu ya elninyo
 
Don't get me wrong but i think LOVE DOESN'T MAKE NO SENSE


I understand where it is coming from but it is worth it!
Unanitia wasi was PA for inaonesha you still have a grudge
na mtu alokuvunja moyo... nime observe your line since jana
from another post..
 
AshaD I salute you!! Yaani kweli umekomaa kimapenzi na hivi ndivyo wengi tunatakiwa kuwa....umependa, ukaumizwa tusiichukulie ile kuumizwa kama mkosi bali kama baraka ya kutufunza jinsi ulimwengu wa mapenzi ulivyo.I believe ambaye ameingia kwenye mapenzi bila kuumizwa hata kama anaishi maisha ya raha vije ..bado ni naive kwenye mapenzi na siku gharika lolote hata dogo likimtokea impact yake kwake itakuwa kubwa sana.

Lets us learn from the Maumivu so that we appreciate wapenzi wetu.
hapo kwenye red hapo mydia nakuunga mkono kabisa..........wanawake tumeumbwa kusahau kama tutasahaulishwa..... ila nijuavyo wanaume wameumbiwa mioyo migumu so kuumizwa kwao huwa si rahisi sana but ukimpata aliyeumizwa akaumia inakuwa ngumu sana kwa yeye kutrust...................sana sana atakuwa anatoa kauli ya ...Wanawake ndivyo mlivyo......all the time.


Mwanjamii I want you to know you have made me happy... saana
na nashukuru pia kwa muono wako kufanana na wangu - ndio yahitaji
moyo, nguvu na ujasiri but for a woman i believe ukizaa inabidi ikukomaze
ki akili na kimatendo pia... namshukuru Mwenyezi Mungu kwa hilo...


The Following User Says Thank You to MwanajamiiOne For This Useful Post:

Asha D (Today)​
 
AD umenena vema but hiyo look after yourself first, sometimes the person anayemzungumzia ni sehemu ya hiyo self yake yeye.......one cant ignore!

MJ1 mambo vipi dear..
nway naelewa kwamba hiyo
self inaweza kum involve yule
mwingine kwa kiasi kikubwa sana..
lakini nilichokuwa na suggest hapo
ni kutafuta njia ya kujitunza na
kufurahisha nafsi yako binafsi..
mfano chukua holiday, ungana na
marafiki fanya vitu wewe uvipendavyo kusukuma muda mbele na kujaribu ku minimuse
feelings and thoughts za upande
wa pili...
santeee
 
Back
Top Bottom