FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,373
Good luck Mbu i hope this time hautaumizwa tena endelea kuufungua moyo
Loooo bora wangu maana yule kichwa ngumu alikuwa anakusumbua bora umepata pumziko la moyo Mbu, ila kabla hujaingia sana deep, make sure usije fanya mistake kama za nyuma, msome, umjue vizuri, pima upendo wake kwako , angalia kama amefata upendo wa kweli kwako? au kuna kitu kingine kafata? Otherwise all the best mydia
Mh Mbu............... leo sikuwa najisikia kupost kitu humu, ila hii post yako imenigusa. Hongera sana na tunakuombea kwa Maulana yote yawe kheri.
hahahahaha kaka Mbu hebu kwanza loh.....yaani kuwa hutakiambiwa ukweli wala urongo asa utajuaje yaliyomkerehesha huko alikotoka? au huyo wako hajakereheshwa, amekerehesha??
Am sorry to ask but are you sure its not infatuation hii ya kwako Mbu? two weeks ..and you are head over heels!!
I beg to differ TIME does nt heal anything inaongeza tuu muda wa kumiss aliyekuvunja moyo, LOVE heals every thing, ukimwaga vibaya ukapata mtu unayempenda na akakupenda i.e u av CHEMISTRY, u will be ok. Ila usipopata mtu mnaye click even 10 years maumivu pale pale. Ndo maana nawaambia my friends if ur partner loves u so much if unaamini hauko for real leave him/her mapema kuliko kumsababishia maumivu ya maisha. If mmeagree sisi we are not serious its ok, ila sijui me nakupenda wanna marry me mwenzio anaweka tumaini halafu unaenda kwa mwingine, its baaad.
Utakuwa humtendei haki your next lover kama utamtaka aparticipate kwenye healing process ambayo hakuisababisha yeye. unatakiwa u-heal youself kwani ulipojeruhiwa hukuwa naye na zaidi sana ukilazimisha utakuwa unamjeruhi the current lover kwani alichokifuata hapo kwako siyo kukuponya bali kuwa your first lover. sas mkiachana utatafuta mwingine wa kuku-heal then utaanza ku penda tena lini?
Mzigo wa mess ups zako na your last lover usizihamishie kwa mpenzi wako mpya please utakuwa hujamtendea haki la sivyo utakuwa unamfananisha na yule aliyepita wakati ni watu wawili tofauti.
wow, thanx so much Gaga...
ushauri wako nitauzingatia sana tu hasa hapo pa
kutorudia makosa ya nyuma.
Mwj1 aliwahi andika 'huwezi msemea mtu lililo rohoni mwake!'
nakubaliana nae sana tu kwa hilo.
Kwasasa sitaki kabisa kulifikiria Soulmate wangu analo lake rohoni.
Itakuwa sawa na ku-judge a book by its cover...
Nataka kuamini she's everything she appears to be.
Kama mimi, she's been through a lot. Naye kwasasa yu tayari for a new beginning.
It will take time mimi naye kuwa kitu kimoja, lakini our experiences huenda zikatusaidia
kuepuka -ve thoughts, na kuzijenga zaidi +ve thoughts, kwani sote "we've been there!" and we know where it hurts!
Inshallahw am looking forward..nije nitoe ushuhuda nami hapa jamvini.Amen Mwj1, Inshaallah Mw'Mungu nawe atakuwezesha kwenye safari yako.
Imewezekana kwangu, itawezekana kwako, kwa BelindaJacob, Kwa Chimala na hata Lizzy tunamuombea dua.
...Mwj1, ...hizo two weeks tangu nimemfungulia moyo wangu bana. Twajuana kwa takriban miaka miwili au mitatu sasa. Au wewe unaonaje?, ...muda si watosha huo?
Tupeana mawazo jamani, 'mtu mzima naadhirika!'
Mbu...........kweli you are falling.........dah.....I wish
Hili linanipa moyo kuwa mtafanya maamuzi sahihi kuliko mngekuwa karibu kiasi cha kuwafanya mu'move'faster ningehofia na kuhisi dalili za kuumizana......hii experience yenu natamani iniprovie kweli kuwa it matters, kuwa kwa kuumia/umizwa kwenu huko mlikotoka/kuwa before mtatudhihirishia kuwa mmelearn to appreciate pale mnapopata kitu tofauti na kile mlichokuwa nacho before......Personnaly I do believe in learning from our mistakes in the past.........
Inshallahw am looking forward..nije nitoe ushuhuda nami hapa jamvini.
Wala hata huadhiriki ndugu yangu............ni bora ukayasema maana si wajua.....mficha maradhi, kilio humfichua....kama mmefahamiana kwa muda huo wa miaka miwili au mitatu as friends Mbu I think you are in the right track.........................All the best darling!!
Nawashauri wanapopenda wasijewekee asilimia zote kuwa na wao wanapendwa na wapenzi wao hawawasaliti.
Mwj1, ...sina hata la kusema...
you've said it all!
Thx luv.
Husninyo, ...kwa huu umri wangu? potelea mbali.
Nampa 100%. Kwanza she's not below 30yrs,...she knows
what she wants in life.
Najua hahitaji kupitia (au kurudia) upuuzi huo tena.
Ayafanye hayo kwa faida gani? Najua anajua it's not worth a thing!
Namuamini. It's up to mimi ku prove kwake uaminifu wangu ili tuaminiane.
Kumtamkia 'aniamini' haitoshi, ...na vitendo pia, hata nitapokuwa mbali naye.
It's a journey.
Mbu kweli you are in love............. naomba tu usiwe tu unatujoki hapa afu mwisho wa siku usema ulikuwa wataka tu kujua mawazo yetu juu ya hili......Maana nionavyo mie its too good to be true
I wish Kaka Klorokwini angekuwepo hapa najua angenisaidia sana kwa mitazamo yake!
Mbu kama kweli umemdondokea mtu kwa kiasi unachoonyesha hapa hongera sana!Hopefully hutoanguka kwenye miamba au changarawe.....
Hahahahahh haya bwana nawithdraw sentence yangu.......................without saving kwani nakuamini sasa ...si wanasema ukiona mtu mzima analia mbele za watu, ujue kuna jambo............halafu Mwj1 wewe,...ndio nini sasa?
ushaanza kuni 'doubt' ee?...Copy & Save, ipo siku nikumbushe
hapa jamvini ukiona nipo nje ya mstari.
duuuhh...yale yale ya Mwj1 kwamba it's too good to be true.
Well, sasa ni vitendo...Wish me luck.
Hahahahahh haya bwana nawithdraw sentence yangu.......................without saving kwani nakuamini sasa ...si wanasema ukiona mtu mzima analia mbele za watu, ujue kuna jambo.........
I WISH YOU BEST OF LUCK MBU...........................From the bottom of my heart.
...rafiki yangu alinambia ameumizwa sana kwenye mapenzi kiasi kwamba anaona moyo wake umekufa ganzi, amekuwa mkatili,...hawezi kupenda tena!
Kina dada, na kina kaka....wazee kwa vijana. Najua kwa namna moja au nyingine
mshakumbana na wenye hali hii. Mnatoa maoni na ushauri gani kuweza kusaidia kwenye situation
hii.
...Unapopendana na mtu wa aina hii, utajuaje anakupenda na si kwamba yumo mguu ndani mguu nje?
Mwj1, ...sina hata la kusema...
you've said it all!
Thx luv.
Husninyo, ...kwa huu umri wangu? potelea mbali.
Nampa 100%. Kwanza she's not below 30yrs,...she knows
what she wants in life.
Najua hahitaji kupitia (au kurudia) upuuzi huo tena.
Ayafanye hayo kwa faida gani? Najua anajua it's not worth a thing!
Namuamini. It's up to mimi ku prove kwake uaminifu wangu ili tuaminiane.
Kumtamkia 'aniamini' haitoshi, ...na vitendo pia, hata nitapokuwa mbali naye.
It's a journey.
Nilishawahi kupigwa moyo na nimpendaye,
Nilishawahi kuumizwa moyo na nimpendaye,
Nadhani aliyenipiga hajui alivyoniumiza, angejua asingekuwa na moyo wa ukatili wa kuniumiza vile.
Nilishawahi kujiapiza na kujiapiza kuwa sitakaa nije kupenda tena.
Muda ukafanya kazi yake.
Muda ukanitendea haki.
Akajitekoza huyu nliye naye. Akaniponya na kunifundisha kitu kimoja:
Bila kujali chochote, Maisha ni shurti yasonge mbele.
Najuta sikumjua mapema.
UKIONA MTU KAKUUMIZA KIMAPENZI, Ujue HAKUKUPENDA. Hakuna mtu ampendaye mtu afu akamuumiza!
Ogopa kupenda PASIPOPENDEKA.
Na hili ndilo watu wengi hasa WANAWAKE wasilolijua, hasa kwa waliowapenda kwa mara ya kwanza.
Babu anarudi kitandani kumshukuru BIBI.
Aksante Babu haya nenda kamshukuru Bibi kitandani kwako!!
Umenikumbusha wimbo wa JD.......Wangu una maneno yasemayo
Nilishakuwaga na wangu, ila akanitenda
Hakuthamini utu wangu, akanacha akaenda
Nikabaki nalia na moyo
WEngi tumeumizwa kimapenzi lakini kama ulivyosema maisha lazima yasonge mbele na pia kuvunjika kwa koleo sio mwisho wa uhunzi. Kwa hiyo kuumizwa moyo, sio mwisho wa kupenda