ramso mgumu
Member
- Sep 2, 2019
- 37
- 27
Naomba kujua hii fungu la kumi
Yani nalipataje fungu la kumi?
Yani nalipataje fungu la kumi?
Anza na mabadiliko ya jina, jina ni nafsi unavyoliishi ndivyo tabia zako hukuaa, fungu la kumi hata kama ukipata je utatoa? Lakini fanya hivi chochote unachokipata kila mwisho wa mwezi kikate 10% halafu peleka kanisaniNaomba kujua hii fungu la kumi
Yani nalipataje fungu la kumi?
maelezo mazuri .. Ila unaweza kutoa fungu la kumi na nyingine peleka kwa watu wenye special need10% ya kipato chako na usidanganye kile chote unachopata kama unafanya kazi ni mshahara wako marupurupu posho zile tip sjui mtu kkushikisha 10k basi unajumlisha zote unatoa asilimia kumi unapeleka kanisani sasa hapo kwenye dungu la kumi hiyo sadaka inamitego sana maana kwa sisi wabongo kuhesabu kila kilichoingia ni uongo sio zote tunahesabu. Alafu cha ajabu makanisa hawanabutaratibu wa kutoa kwa wenye uhitaji wao wanajali maokoto tu na zaka zao zitimie
Nimekuelewa ila sasa pesa zetu Huwa ni zamafungu mafungu hapo sasa ndiye mtihaniAnza na mabadiliko ya jina, jina ni nafsi unavyoliishi ndivyo tabia zako hukuaa, fungu la kumi hata kama ukipata je utatoa? Lakini fanya hivi chochote unachokipata kila mwisho wa mwezi kikate 10% halafu peleka kanisani
Jibu ujuavyo ili tupate elimu ata kidogoTafuta kiongozi wako wa dini akupe madini
Sema hilo jina lako ndugu dahmimiamadiwenani mjibu muumini
Bora hiyo hela ya fungu la kumi na sadaka zingine utoe kwa wahitaji maana pal ndipo sadaka yakobinapata maombi na shukrani za dhati sio kutoa kanisani wachungaji wanaona ni haki yao ww kuwaletea sadaka na michango mbali mbalimaelezo mazuri .. Ila unaweza kutoa fungu la kumi na nyingine peleka kwa watu wenye special need
Halo ndiye kosa wanalo fanya viongozi wetu WA dini10% ya kipato chako na usidanganye kile chote unachopata kama unafanya kazi ni mshahara wako marupurupu posho zile tip sjui mtu kkushikisha 10k basi unajumlisha zote unatoa asilimia kumi unapeleka kanisani sasa hapo kwenye dungu la kumi hiyo sadaka inamitego sana maana kwa sisi wabongo kuhesabu kila kilichoingia ni uongo sio zote tunahesabu. Alafu cha ajabu makanisa hawanabutaratibu wa kutoa kwa wenye uhitaji wao wanajali maokoto tu na zaka zao zitimie
Kiongozi WA dini nae anaitajika atoe fungu la kumi?Bora hiyo hela ya fungu la kumi na sadaka zingine utoe kwa wahitaji maana pal ndipo sadaka yakobinapata maombi na shukrani za dhati sio kutoa kanisani wachungaji wanaona ni haki yao ww kuwaletea sadaka na michango mbali mbali
Ndio si anaingiza kipato ila sidhani kama wanatoa kweli maana hata wakitoka kundini hawarusdishwi kwa aibu kama wanavyofanya kwa waumini utengewe alafu ukirudishwa uitwe mbele peke yako yaani mambo ya aibu ila wao wanazaa hadi na wake za watu ila hawarudishwi kundini sasa sjui hizo dhambi wanatubu wapiKiongozi WA dini nae anaitajika atoe fungu la kumi?
Swali zuli sana hilikwani hilofungu lakumi kanisani linatumikaje mkuu
Yaani asiwape masikini 'na yatima,apeleke kanisani zikawatajirishe matapeliAnza na mabadiliko ya jina, jina ni nafsi unavyoliishi ndivyo tabia zako hukuaa, fungu la kumi hata kama ukipata je utatoa? Lakini fanya hivi chochote unachokipata kila mwisho wa mwezi kikate 10% halafu peleka kanisani
ziada au asilimia 10 katika pato lako kwa mfano mwezi au mwaka, wakirimie wahitaji na wenye shida mbalimbali, hususani kupitia utaratibu wa kanisa, msikiti au kadiri Mungu atakavyokuongoza na Utabarikiwa sana...Naomba kujua hii fungu la kumi
Yani nalipataje fungu la kumi?
kwanini usimuelezee maana anaweza akawa na kiongozi wa dini asiye sahih??Tafuta kiongozi wako wa dini akupe madini
Amen.ziada au asilimia 10 katika pato lako kwa mfano mwezi au mwaka, wakirimie wahitaji na wenye shida mbalimbali, hususani kupitia utaratibu wa kanisa, msikiti au kadiri Mungu atakavyokuongoza na Utabarikiwa sana...
ziada au asilimia 10 katika pato lako kwa mfano mwezi au mwaka, wakirimie wahitaji na wenye shida mbalimbali, hususani kupitia utaratibu wa kanisa, msikiti au kadiri Mungu atakavyokuongoza na Utabarikiwa sana...
hamna kanuni kwamba ukitoa ZAKA ni lazima utabarikiwa.....na Utabarikiwa sana...