Nyamwage
JF-Expert Member
- Oct 16, 2020
- 634
- 1,535
Hi? Mnaonaje fungu la kumi au sadaka wangepewa wauguzi wa afya na vyuo vyote vinavyotoa mafunzo hayo sababu wanachokifanya katikati maisha ya mwanadamu kinaonekana sababu unaweza zidiwa na magonjwa ukapelekwa hospital na ukatengamaa kama siku zako za kufa hazijafika bado kuliko kuwapa hawa mapastor wetu sababu sioni kazi wanayofanya mpaka tukaenda kuwalundikia mamilioni ya shilingi humo makanisani mwao mimi sio wale wasio amini kua kuna Mungu hapana Mungu yupo