Fidel80 JF-Expert Member May 3, 2008 21,947 4,444 Nov 23, 2009 #2 Hehehehe atakuwa kalewa huyu si bure.
Kimbweka JF-Expert Member Jul 16, 2009 8,597 1,683 Nov 23, 2009 #3 Naona hiyo gari ina choo maana hapo naona kuna kizibua choo hahahaha
Pape JF-Expert Member Dec 11, 2008 5,488 79 Nov 23, 2009 Thread starter #4 Kimbweka said: Naona hiyo gari ina choo maana hapo naona kuna kizibua choo hahahaha Click to expand... hahahahahahahaha kizibua chooo!
Kimbweka said: Naona hiyo gari ina choo maana hapo naona kuna kizibua choo hahahaha Click to expand... hahahahahahahaha kizibua chooo!
Sajenti JF-Expert Member Apr 24, 2008 3,651 412 Nov 23, 2009 #5 Hapo amekosa kijiko na uma tu!!! kwi!! Kwi!!
GP JF-Expert Member Feb 5, 2009 2,049 160 Nov 23, 2009 #7 hahahaaaaaaaa, kudadadekiiiiiiiiiiiiiiiiiii, hili jizi tu si fundi wala nini, mweh!.
PingPong JF-Expert Member Dec 21, 2008 926 160 Nov 23, 2009 #8 Ina maana hivyo vifaa vyote ameshavitumia na bado tatizo hajaliona, huyo kweli fundi ..!!!
PingPong JF-Expert Member Dec 21, 2008 926 160 Nov 23, 2009 #9 huyu hafai kuwa fundi wa meli coz vifaa vyote hivyo vingekuwa vimetumbukia kwenye maji, sasa kama kina ni kirefu ndio basi tena... hahahahah
huyu hafai kuwa fundi wa meli coz vifaa vyote hivyo vingekuwa vimetumbukia kwenye maji, sasa kama kina ni kirefu ndio basi tena... hahahahah
Pape JF-Expert Member Dec 11, 2008 5,488 79 Nov 23, 2009 Thread starter #10 PingPong said: huyu hafai kuwa fundi wa meli coz vifaa vyote hivyo vingekuwa vimetumbukia kwenye maji, sasa kama kina ni kirefu ndio basi tena... hahahahah Click to expand... hahahahaha
PingPong said: huyu hafai kuwa fundi wa meli coz vifaa vyote hivyo vingekuwa vimetumbukia kwenye maji, sasa kama kina ni kirefu ndio basi tena... hahahahah Click to expand... hahahahaha