Fundi mchwara wa magari

Pape

JF-Expert Member
Dec 11, 2008
5,488
79
i1095_509010052287691963689691924211164052121n.jpg


wavivu utawajua tu!
 
Naona hiyo gari ina choo maana hapo naona kuna kizibua choo hahahaha
 
hahahaaaaaaaa, kudadadekiiiiiiiiiiiiiiiiiii, hili jizi tu si fundi wala nini, mweh!.
 
Ina maana hivyo vifaa vyote ameshavitumia na bado tatizo hajaliona, huyo kweli fundi ..!!!
 
huyu hafai kuwa fundi wa meli coz vifaa vyote hivyo vingekuwa vimetumbukia kwenye maji, sasa kama kina ni kirefu ndio basi tena... hahahahah
 
Back
Top Bottom