Gyeoul
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 3,758
- 5,364
Aksante Nilijua kazimoto na yeye kaachwa Na Ndege! Then wankuja Ona Mpira Wake Mbovu Wankuja Mtoa Dakika Za Mwisho.Leo Simba sc tumefungwa kwa sababu moja kubwa.
Baada ya John Boko kuumia ilibidi aingie Gyan. Au Kazimoto, hao wote wangeendana na kasi ya mchezo wa Mwadui.
Mavugo hana kasi, hakabi, hamiliki mpira. Kuingia kwake tukaanza kushambuliwa maana mbele hakukuwa na madhara tena.
Kocha aangalie tutakuja kosa ubingwa kwa mapenzi ya mtu mmoja.
Simba tunataka ubingwa mwaka huu.
OK ndo Mpira Uo.